Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Wadau Mimi siongei mengi.
Warejee Professor Mwandosya na Dr Kagasheki. Wamekuwa wakitweet mambo negative dhidi ya serikali. Hivi wanamaanisha au unafiki na hasira juu ya Mtu Fulani?
Warejee Professor Mwandosya na Dr Kagasheki. Wamekuwa wakitweet mambo negative dhidi ya serikali. Hivi wanamaanisha au unafiki na hasira juu ya Mtu Fulani?