frolian mwebesa Jr
Member
- Aug 27, 2014
- 26
- 0
Wadau ninashida moja kama kuna mtu anafahamu jinsi ya ku-unlock hii moderm ya vodacom, naombeni basi anijulishe maana nimeshatumia njia nyingi sana na bado sijafanikiiwa, naombeni msaada wenu wadau ma-IT managers please!