tumeshuhudia siri mbalimbali zilizofichuliwa na mtandao wa WikiLeaks kama ile inayohusu kashfa ya mkurugenzi wa PCCB na sasa mkurugenzi wa ATC,tunaomba wizara ya habari ya nchi yetu itoe tamko kama habari hizi ni za kweli na ni nini msimamo wa serikali kuhusu habari hizi,au wan Jf mnazichukuliaje habari hizi?