Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,910
- 21,948
Haziwashi kuziona tu ni uchafu
We unazo?
Haziwashi kuziona tu ni uchafu
Hujambo binamuNakusalimia binamu yangu kipenzi
We unazo?
Sina
Kipara na kugawa uhusiano wake uko wapi??..kwamba kikipigwa na jua ubongo unachemka, joto linasambaa mwilini na genye zinaongezeka ama??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndiyo maana
Sina
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
leo naonaa uko kijiweni tu maana story zako.....mara madege anaishi wapi?mara mademu wenye chunusi....ujitaidi uwende ukafanya na vibarua mkuujamaa yangu leo npo nae maeneo flani hapa town tunapga story et ananiambia wanawake wenye chunusi wana ladha na joto sana kuliko wanawake wengne eti nikweli?
au anajiwekea difence mechanism mana mwanamke wake ana chunusi hadi huruma!
leo naonaa uko kijiweni tu maana story zako.....mara madege anaishi wapi?mara mademu wenye chunusi....ujitaidi uwende ukafanya na vibarua mkuu
🙄🙄🙄🙄Hivi Atoto na katoto kazuri ni mabest?
🙄🙄🙄🙄
[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Poa.Mambo
Poa.
Ndio, usingizi kabisa na hapa nakoroma.Umelala?
Ndio, usingizi kabisa na hapa nakoroma.
Ndio.Huku unaandika?
Ndio.