paliemba
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 445
- 212
Wadau kuna kitu huwa kina nishangaza saanaa pale ninanapo waona viongozi wa kisiasa wakubwa wanapo ingia kanisani na walinzi wao sijui huwa wana maanisha nini ? Au pengine huwa ni hisia zangu tu?
1). Au mungu wanaye mwabudu huwa hana kinga ya kutosha dhidi yao .?
2). Au imani yao ni haba kiasi cha kupelekea kujawa na hofu ya maisha yao wawapo madhabahuni mwa Bwana atoaye ulinzi kwa wote?
3).Au walinzi wao huamua kufanya hivyo kwa kutoamini usalama wa mazingira ya ibada wanamo abudiwa.?
4). Na vipi kwa wale wakristo wanao amini katika maandiko yanayo sema kama bwana asipo ulinda mji wakeshao wanakesha bure?
Natanguliza shukrani zangu nyingi karibu kwa mjadala .
PALIEMBA ...
1). Au mungu wanaye mwabudu huwa hana kinga ya kutosha dhidi yao .?
2). Au imani yao ni haba kiasi cha kupelekea kujawa na hofu ya maisha yao wawapo madhabahuni mwa Bwana atoaye ulinzi kwa wote?
3).Au walinzi wao huamua kufanya hivyo kwa kutoamini usalama wa mazingira ya ibada wanamo abudiwa.?
4). Na vipi kwa wale wakristo wanao amini katika maandiko yanayo sema kama bwana asipo ulinda mji wakeshao wanakesha bure?
Natanguliza shukrani zangu nyingi karibu kwa mjadala .
PALIEMBA ...