pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 879
- 618
Wataalamu naomba kueleweshwa juu ya upimaji viwanja. Naomba kujua vifuatavyo:
1. Yale mawe aka bicon yanamaanisha nini?
2. No. Za juu ya mawe zunawakilisha nini?
3. Je kila no. Ya jiwe inatofautiana toka jiwe moja kwenda jingine?
4. Yale mawe katikati kuna chip au sensor yeyote endapo litazama ndani ya udongo, location yake unajuaje?
5. Gharama za kuprocess hati kwa sasa ni kiasi gani, baada ya hatua ya upandaji mawe kuisha.
Karibuni wataalamu wetu.
1. Yale mawe aka bicon yanamaanisha nini?
2. No. Za juu ya mawe zunawakilisha nini?
3. Je kila no. Ya jiwe inatofautiana toka jiwe moja kwenda jingine?
4. Yale mawe katikati kuna chip au sensor yeyote endapo litazama ndani ya udongo, location yake unajuaje?
5. Gharama za kuprocess hati kwa sasa ni kiasi gani, baada ya hatua ya upandaji mawe kuisha.
Karibuni wataalamu wetu.