Kuhusu Suala la Diamond kuachwa Mwanza - ATCL wanapindisha maneno ambayo ni kudanganya, wananchi wana haki ya kuelezwa ukweli

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Moderators naomba msiunganishe uzi huu kwa kuwa una faida kwa watu wote kujua taratibu za usafiri wa ndege, ambao ATCL kwa makusudi imeamua kupotosha umma katika kile kinaitwa "damage control"

Kilichofanyika Mwanza hadi Diamond kuachwa ni jambo la kawaida katika usafiri wa ndege. Ni kwamba booking zinapofanywa kwa ajili ya safari ya ndege, huwa kama kuna abiria wengi basi shirika litabook zaidi ya uwezo wa ndege wa kubeba abiria. Hii hufanywa hivi kwa kuwa si watu wote wanao book kuondoka siku fulani wanaondoka siku hiyo. Ndege sio kama basi kwamba ikijaa wataacha kubook.

Sasa pale Mwanza kilichofanyika ni kwamba siku hiyo ATCL walikuwa wana abiria zaidi ya uwezo wa ndege. Hili linapotokea huwa watakaosafiri na ndege ni wale waliokuwa wa kwanza ku-check in - yaani first to check in first to travel.

Sasa Diamond hakuchelewa kufika airport kulingana na muda wa safari ya ndege. Alifika ndani ya muda unaotakiwa. Lakini kilichotokea ni kwamba ile idadi ya watu ambao ndege ingeweza kubeba ilikuwa imetimia. Hivyo Diamond na wengine ikabidi waachwe.

Sasa kosa ni la nani? Si kosa la Diamond wala ATCL. Kosa la ATCL hapa ni kuupotosha umma kwamba Diamond alichelewa. Hakuchelewa, bali walikuwa wana-overbooking hivyo wakachukua abiria waliocheck in kwanza. Kosa la Diamond ni kusema seat zao "ziliuzwa". Hapana, walichukuliwa wale waliocheck in kwanza.

Kawaida basi, ATCL walitakiwa kuwahudumia abiria wote ambao hawakuweza kusafiri kwa ajili ya overbooking. Walitakiwa hata wawape hoteli ya kulala hadi kesho yake, ambapo wangepewa fursa ya kwanza kusafiri na ndege inayofuata. Lakini ATCL hawakutaka kufanya hivyo, wakaamua kusema abiria ndio wamechelewa ili kukwepa lawama na gharama.

Sasa kama ATCL imeamua kutoa huduma bora kwa Watanzania, kwanza wawe wakweli, wasipotoshe umma na kukwepa uwajibikaji unaotokana na overbooking. Hilo ni jambo la kawaida na wao kama shirika la ndege wanajua walipaswa kuwafanyia nini Diamond na wengine waliokosa ndege ile kwa kuwa ilikuwa imejaa.

Na kwa watu wengine, kama unahisi kuna overbooking kutokana na route kuwa na watu wengi, ni vema uwahi sana kucheck in. NI jambo la kawaida kwa mashirika ya ndege kufanya overbooking, japo si jambo la kawaida kwa mashirika ya ndege kupotosha umma kwamba abiria walioachwa kwa overbooking walichelewa. Technically si kweli kwamba wanakuwa wamechelewa. Kwanza kama wangekuwa kweli wamechelewa wangelipishwa flight change au no show fee.

Kwa hiyo ATCL hawakumtendea haki Diamond, kwa kuwa wamemfanya aonekane ni muongo badala ya kuomba radhi kwamba hakusafiri kwa ajili ya suala la overbooking, na si kwamba "alichelewa", bali walichukua wale walio-check in mbele yake. Tunaelewa kwamba ATCL walitaka kufanya damage control kutokana na kauli za Diamond. Hata hivyo, huwezi kurekebisha kosa kwa kufanya kosa. Two wrongs do not make a right. Hata kama Diamond aliongea mambo kwa hasira, haiwapi ATCL haki ya kudanganya umma ili kufanya damage control. ATCL wangekanusha kuhusu seat za kina Diamond "kuuzwa" na kueleza ukweli.

Kuepuka lawama, ATCL wangeweza pia kumpa Diamond free upgrade ya Business Class, kwani hilo pia ni jambo la kawaida kunapokuwa na overbooking. Huenda hiyo ingekuwa win-win kwa ATCL na Diamond.

Kwa wale wanaojua Kiingereza;

The Reason Airlines Over-book Flights

Most airlines over-book their flights and accept bookings for more seats than are available in order to minimize their impact on the percentage of passengers who either don’t show up for the flight or who cancel their booking at the last-minute. Unfortunately, this business practice can sometimes backfire and inconvenience passengers if more individuals than expected show up for the flight.

Here's the best way for an airline to handle overbooked flights

The trouble comes when more passengers show up for a particular flight than there are available seats. In those situations, airlines need to have proactive mechanisms that treat customers fairly without breaking the bank.

1545171049190.png
 
Huyo Diamond ni kawaida yake kuchelewa, precision ilishawahi kuwa kwenye runway tayari kuruka, rubani akairudisha ndenge kuja mchukua Dai.
 
Moderators naomba msiunganishe uzi huu kwa kuwa una faida kwa watu wote kujua taratibu za usafiri wa ndege, ambao ATCL kwa makusudi imeamua kupotosha umma katika kile kinaitwa "damage control"

Kilichofanyika Mwanza hadi Diamond kuachwa ni jambo la kawaida katika usafiri wa ndege. Ni kwamba booking zinapofanywa kwa ajili ya safari ya ndege, huwa kama kuna abiria wengi basi shirika litabook zaidi ya uwezo wa ndege wa kubeba abiria. Hii hufanywa hivi kwa kuwa si watu wote wanao book kuondoka siku fulani wanaondoka siku hiyo. Ndege sio kama basi kwamba ikijaa wataacha kubook.

Sasa pale Mwanza kilichofanyika ni kwamba siku hiyo ATCL walikuwa wana abiria zaidi ya uwezo wa ndege. Hili linapotokea huwa watakaosafiri na ndege ni wale waliokuwa wa kwanza ku-check in - yaani first to check in first to travel.

Sasa Diamond hakuchelewa kufika airport kulingana na muda wa safari ya ndege. Alifika ndani ya muda unaotakiwa. Lakini kilichotokea ni kwamba ile idadi ya watu ambao ndege ingewza kubeba ilikuwa imetimia. Hivyo Diamond na wengine ikabidi waachwe.

Sasa kosa ni la nani? Si kosa la Diamond wala ATCL. KOsa la ATCL hapa ni kuupotosha umma kwamba Diamond alichelewa. Hakuchelewa, bali walikuwa wana-overbooking hivyo wakachukua abiria waliocheck in kwanza.

Kawaida basi, ATCL walitakiwa kuwahudumia abiria wote ambao hawakuweza kusafiri kwa ajili ya overbooking. Walitakiwa hata wawape hoteli ya kulala hadi kesho yake, ambapo wangepewa fursa ya kwanza kusafiri na ndege inayofuata. Lakini ATCL hawakutaka kufanya hivyo, wakaamua kusema abiria ndio wamechelewa ili kukwepa lawama na gharama.

Sasa kama ATCL imeamua kutoa huduma bora kwa Watanzania, kwanza wawe wakweli, wasipotoshe umma na kukwepa uwajibikaji unaotokana na overbooking. Hilo ni jambo la kawaida na wao kama shirika la ndege wanajua walipaswa kuwafanyia nini Diamond na wengine waliokosa ndege ile kwa kuwa ilikuwa imejaa.

Na kwa watu wengine, kama unahisi kuna overbooking kutokana na route kuwa na watu wengi, ni vema uwahi sana kucheck in. NI jambo la kawaida kwa mashirika ya ndege kufanya overbooking, japo si jambo la kawaida kwa mashirika ya ndege kupotosha umma kwamba abiria walioachwa kwa overbooking walichelewa. Technically si kweli kwamba wanakuwa wamechelewa.

Kwa hiyo ATCL hawakumtendea haki Diamond, kwa kuwa wamemfanya aonekane ni muongo badala ya kuomba radhi kwamba hakusafiri kwa ajili ya suala la overbooking, na si kwamba "alichelewa", bali walichukua wale walio-check in mbele yake.
Unadanganya
 
Huyo Diamond ni kawaida yake kuchelewa, precision ilishawahi kuwa kwenye runway tayari kuruka, rubani akairudisha ndenge kuja mchukua Dai.
Sawa hata kama huko nyuma huwa anachelewa, lakini kwa suala la Mwanza si kweli kwamba alichelewa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Moderators naomba msiunganishe uzi huu kwa kuwa una faida kwa watu wote kujua taratibu za usafiri wa ndege, ambao ATCL kwa makusudi imeamua kupotosha umma katika kile kinaitwa "damage control"

Kilichofanyika Mwanza hadi Diamond kuachwa ni jambo la kawaida katika usafiri wa ndege. Ni kwamba booking zinapofanywa kwa ajili ya safari ya ndege, huwa kama kuna abiria wengi basi shirika litabook zaidi ya uwezo wa ndege wa kubeba abiria. Hii hufanywa hivi kwa kuwa si watu wote wanao book kuondoka siku fulani wanaondoka siku hiyo. Ndege sio kama basi kwamba ikijaa wataacha kubook.

Sasa pale Mwanza kilichofanyika ni kwamba siku hiyo ATCL walikuwa wana abiria zaidi ya uwezo wa ndege. Hili linapotokea huwa watakaosafiri na ndege ni wale waliokuwa wa kwanza ku-check in - yaani first to check in first to travel.

Sasa Diamond hakuchelewa kufika airport kulingana na muda wa safari ya ndege. Alifika ndani ya muda unaotakiwa. Lakini kilichotokea ni kwamba ile idadi ya watu ambao ndege ingewza kubeba ilikuwa imetimia. Hivyo Diamond na wengine ikabidi waachwe.

Sasa kosa ni la nani? Si kosa la Diamond wala ATCL. KOsa la ATCL hapa ni kuupotosha umma kwamba Diamond alichelewa. Hakuchelewa, bali walikuwa wana-overbooking hivyo wakachukua abiria waliocheck in kwanza.

Kawaida basi, ATCL walitakiwa kuwahudumia abiria wote ambao hawakuweza kusafiri kwa ajili ya overbooking. Walitakiwa hata wawape hoteli ya kulala hadi kesho yake, ambapo wangepewa fursa ya kwanza kusafiri na ndege inayofuata. Lakini ATCL hawakutaka kufanya hivyo, wakaamua kusema abiria ndio wamechelewa ili kukwepa lawama na gharama.

Sasa kama ATCL imeamua kutoa huduma bora kwa Watanzania, kwanza wawe wakweli, wasipotoshe umma na kukwepa uwajibikaji unaotokana na overbooking. Hilo ni jambo la kawaida na wao kama shirika la ndege wanajua walipaswa kuwafanyia nini Diamond na wengine waliokosa ndege ile kwa kuwa ilikuwa imejaa.

Na kwa watu wengine, kama unahisi kuna overbooking kutokana na route kuwa na watu wengi, ni vema uwahi sana kucheck in. NI jambo la kawaida kwa mashirika ya ndege kufanya overbooking, japo si jambo la kawaida kwa mashirika ya ndege kupotosha umma kwamba abiria walioachwa kwa overbooking walichelewa. Technically si kweli kwamba wanakuwa wamechelewa.

Kwa hiyo ATCL hawakumtendea haki Diamond, kwa kuwa wamemfanya aonekane ni muongo badala ya kuomba radhi kwamba hakusafiri kwa ajili ya suala la overbooking, na si kwamba "alichelewa", bali walichukua wale walio-check in mbele yake. Tunaelewa kwamba ATCL walitaka kufanya damage control kutokana na kauli za Diamond. Hata hivyo, huwezi kurekebisha kosa kwa kufanya kosa. Two wrongs do not make a right. Hata kama Diamond aliongea mambo kwa hasira, haiwapi ATCL haki ya kudanganya umma ili kufanya damage control.
Ebu punguza ngenga nyingi weka ushahidi kamili.
*Check in time ya.ATCL ilikua saa ngapi hadi saa ngapi?

*Huyo diamond alifika kwenye check in counter ya ATCL saa ngapi?

*Kama alifika kwa mda unaotakiwa ali chek in?
 
Kuna maburungutu alikuwa anahesabu juzi hazitoshi kununua ndege zile burungutu?
 
Ebu punguza ngenga nyingi weka ushahidi kamili.
*Check in time ya.ATCL ilikua saa ngapi hadi saa ngapi?

*Kama alifika kwa mda unaotakiwa ali chek in?

Kuiwa na overbooking, hata ukifika muda unaotakiwa ku-check in bado hutacheck in kwa kuwa siti zote zinakuwa zimeshajazwa. Overbooking ni kwamba una siti 100 kwenye ndege, umekata ticket 150 kwa ajili ya hiyo safari. Kwa hiyo unachofanya ni kuchukua wale abiria wa kwanza 100 waliochck in, hata kama abiria wote 150 wamefika airport kwa muda unaotakiwa.
 
Kuiwa na overbooking, hata ukifika muda unaotakiwa ku-check in bado hutacheck in kwa kuwa siti zote zinakuwa zimeshajazwa. Overbooking ni kwamba una siti 100 kwenye ndege, umekata ticket 150 kwa ajili ya hiyo safari. Kwa hiyo unachofanya ni kuchukua wale abiria wa kwanza 100 waliochck in, hata kama abiria wote 150 wamefika airport kwa muda unaotakiwa.
Acha uongo wako jibu maswali yangu km nilivyokuliza
 
Acha uongo wako jibu maswali yangu km nilivyokuliza
Utaelewaje kama umezoea kupanda FastJet ambazo mara nyingi huwa hazijai?

Mie kuachwa kwa ajili ya overbooking imenitokea sana, lakini sio hapa Tanzania. Ila mara zote nilipelekwa kulala hoteli na kupewa kuponi za chakula na vinywaji, free. Sasa ATCL wanaweza hilo? Wanaishia kuwapa abiria walioachwa hotuba za uzalendo.
 
Utaelewaje kama umezoea kupanda FastJet ambazo mara nyingi huwa hazijai?

Mie kuachwa kwa ajili ya overbooking imenitokea sana, lakini sio hapa Tanzania. Ila mara zote nilipelekwa kulala hoteli na kupewa kuponi za chakula na vinywaji, free. Sasa ATCL wanaweza hilo? Waaishia kuwapa abiria walioachwa hotuba za uzalendo.
Sijawahi panda hiyo fast jet yako nakushauri ujibu maswali yangu niliyokuliza hapo juu kwanza ndo tuendelee na mengine chenga chenga za nini?
 
Sijawahi panda hiyo fast jet yako nakushauri ujibu maswali yangu niliyokuliza hapo juu kwanza ndo tuendelee na mengine chenga chenga za nini?
NImekujibu bali wewe ni mwepesi kuongea na mgumu kusikia.

Usijilinganishe na mimi kwenye kupanda ndege. Hakuna aina ya ndege ya abiria ambayo sijawahi panda. Angalia hii thread

Tumepanda Airbus 380 kwa ngazi!
 
Jibu maswali yangu please km huwezi yajibu wewe kiri hakuna wa kukuchapa fimbo za matakoni
Airbus 380 nimepanda 2012 wakati wewe hadi leo hata kwa macho hujaiona halafu unataka kuleta ujuaji kuhusu taratibu za usafiri wa ndege. Taratibu za ndege haziendi kwa kulazimisha uzalendo.ATCL wanachotaka ni kutaka Diamond awe mzalendo. Wakitaka abiria wazalendo wawapandishe wewe na JIwe. Sie hapa tunataka ATCL wafanye kazi kibiashara, sio kizalendo kwa kuwatungia uongo watu wanaowakosoa.
 
Over booking kwa walio book on request huwezi kunipa a confirmed flight ticket then uje uniambie ati nili over book? unajua ratiba yangu ya safari na mambo mengine?
Yes, hata kwenye overbooking unakuwa na confirmed flight. Unfortunately huwa iko hivyo.

Kumbuka hiyo ni tofauti na kuwa kwenye waiting list.
 
Back
Top Bottom