Wadau naomba kuwakilisha kama ifuatavyo:
Nilikuwa natafuta simu aina ya samsung double line, nilipofika dukani muuzaji akaanza kunisifia kuhusu toleo jipya la TECNO HD na akanipa modeli HD 51 kwa kweli i was so impressed na performance yake kila kitu basic kipo na camera yake ni 1.3 mega pixel lakini quality ya picha yake it's amaizing very clear.
Simu inakuja na battrey 2,earphone,charger pamoja na cover yake original. Baada ya kuanza kuzifuatilia kwa umakini nikakuta watu wengi wanatumia hii brand ya TECNO katika simu za kichina kushinda brand yoyote ile. Nchi ya jiran kenya hususan Mombasa zimeteka soko kubwa la watumiaji wa simu.
Ukiacha mambo mengine ina kamata internet bila ya matatizo yoyote na ina java ambayo unapata software nyingi za ku down load kwenye neti.
Wenye experience zaidi watujuze kuhusu hizi simu na upatikanaji wake kwa wingi hasa hizi HD series
Mchina ni mchina tu!!
kuna jamaa mmoja akiuzaga gari anaanza kukuambia lina kiti, kiti, una adjust, adjust mbele na nyuma, lina side mirror, side mirror una adjust, taa zaidi ya moja, yaaani makorokoro kibao ambayo ni ya kawaida tu mkuu!!
Simu inategemea na matumizi na hobby yako.
Mchina ni mchina tu. Ina kelele kama Sub woofer
Mchina ni mchina tu. Ina kelele kama Sub woofer
Sifa ya pili hazilowi maji na zinajibu sms zenyewe
To be honest sio kila anachotengeneza mchina ni kibovu kuna vengine vina ubora unaostahili.
Najua mkuu unazungumza hivyo kwa kuwa hujawahi kuitia mkononi hiyo simu ninayozungumzia ila katika pita pita zako madukani ijaribu kidogo then utarialize in terms of quality.
Pikipiki yangu mchina aina ya sanya ambayo pia imechukua soko kubwa hasa mwanza kutokana na kuwa na ubora unaostahili.
Kwa msimamo huu sio kwanba nakataa kabisa kwamba mchina sio fake ila kuna baadhi za bidhaa wanazotengeneza zina ubora unaostahili.
Hili halina shaka kwani naamini wadau wengi wataniunga mkono.
Alsaidy tuwekee picha ya hiyo cm hapa,wewe utakuwa mwarabu unapromote biashara,ndo una tenda ya kuzileta nchini au?
Wenye experience zaidi watujuze kuhusu hizi simu na upatikanaji wake kwa wingi hasa hizi HD series
Tuwekee picha