Kuhusu shambulio la Fr. Kitima

Upo sahihi. Kuna hata kwenye vitabu vya Dini inasemekana kwamba, utawala dhalimu unapokaribia kufikia kwenye point ya mwisho kabisa huwa wanapofushwa macho, wanazibwa masikio yao na hivyo na hatimaye huweza kutesa mpaka kuua hata watu wake wa karibu. Inafika wakati hata mtoto wake anakuwa hamwamini. Kwa ujumla linakuwa kama gari lililopoteza mwelekeo. Litagonga kila kitu kilicho mbele yake.
 
Kitima ndo kanisa?mpumbavu toeni Udini wenu, Kibao hakua na dini? Waisalamu walidai kwamba uislamu ndo umevamiwa,
Tusio Waislamu tulilaani mauaji ya Mzee Kibao wakati wewe ulifurahia mauaji hayo. Lakini haiondoi kwamba Kibao hakuwa na Uongozi BAKWATA, ila Kitima ni Katibu wa Baraza la Maaskofu. Shambulizi moja ni personal, jingine ni institutional.
 
Kitima ndo kanisa?mpumbavu toeni Udini wenu, Kibao hakua na dini? Waisalamu walidai kwamba uislamu ndo umevamiwa,
We ni mbugila kinoma, kwahiyo mfano Mama Samia akishambuliwa anakuwa anakuwa aliyeumizwa ni Samia na sio Mwenyekiti wa CCM?

Kwamba kama alishambuliwa akiwa nje ya Ikulu inakuwa Raisi hajaumizwa?
 
Udhalimu hauishii hapo, hata wewe utakufuata tu.
 
Ok sawa tuseme kashambuliwa yeye kama yeye na siyo kwasababu ya Dini yake wala Kanisa lake.
1. Je waliomshambulia walilenga nn au
walifanya hivyo kwa lipi hasa??
2. Je akitoa maoni yake yeye kama yeye
iweje maoni yake binafsi yahusishwe
na Dini yake na Kanisa lake??

Ukweli wa shambulio lile liko wazi na Watz walio wengi sio wajinga. Wanafahamu ni nani waliopanga na ni nani waliotekeleza unyama ule. Mungu yupo ambae ni Hakimu wa kweli. Giza kamwe hiliwezi kushinda nuru.
 
Safari hii mmeyakanyaga, kanisa halitaacha hili lipite hivihivi
Yeah Tena hapa haitakuwa ukatoliki bali ukristo ni mbaya sn hii
Sijui waliwaza nn kabla ya kufanya haya!

Mi sio rc ila kati ya wakristo ambao hawayumbishwi Wala huwakuti tuition 🤣Kwa manabii huko ni RC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…