Kuhusu shambulio la Fr. Kitima

Wajikite kuhubiri injili Ili jamii iwe na maadili na kuepuka dhambi,badala ya kushupaa na serikali
Hutofautiani na hao wasijua uhusuano wa siasa na dini katika kujenga jamii yenye upendo kudumisha amani
 
Umeliweka sawa sio kwamba kashambuliwa kwasbb ni mkatoliki tena kiongozi, ambieni hao waache udini.
Sio issue ya Dini Marehemu Mzee Ally Kibao alikuwa ni Muisilamu Deusdith Soka na wenzake walikuwa Wakristo nk.
 
Kuna padri aliratibu mauaji ya albino vipi napo tulihusishe kanisa au ni yeye mwenyewe tu?
Mambo ya Giza ni ya MTU, mambo ya Nuru ni ya KANISA .


Ulishwah Ona KITIMA anazungumzia Giza ? Kazi ya KANISA ni kuzungumzia NURU .
 
Nyamaza. Aliyokuwa anayasema aliyasema Kwa cheo chake.
 
Pole sana Father Kitima. Ukweli wako mbele ya Jamii unakuletea madhara. Mwenyezi Mungu atawaadhibu.
 
Wajikite kuhubiri injili Ili jamii iwe na maadili na kuepuka dhambi,badala ya kushupaa na serikali
Wao wanakemea dhambi bila kujali nani ametenda dhambi hizo. Kazi ya kukemea maovu katika jamii ni wajibu namba moja wa Kanisa.
 
Wao wanakemea dhambi bila kujali nani ametenda dhambi hizo. Kazi ya kukemea maovu katika jamii ni wajibu namba moja wa Kanisa.
Hawakukemea escrow,walibeba fedha kwenye sandalusi,hawakemei makasisi kulawiti watoto
 
Hawakukemea escrow,walibeba fedha kwenye sandalusi,hawakemei makasisi kulawiti watoto
Walikemea labda ulikuwa hujazaliwa. Na msiwafundishe maneno ya kusema,wizi wa kura ni sawa na wizi mwingine tu ni dhambi mbele ya Mwenyezi Mungu.
 
Unataka Mahubiri gani? Kwa hiyo kutenda dhambi ni siasa. Kutenda haki ni siasa?
Waandae watu kiroho tangu wadogo, waweke nguvu huko,wao nguvu wameweka kwenye siasa na kunyonya masikini
 
Unawezaje kujitofautisha wewe na kazi yako?
Tumeona mara kadhaa mwalimu wa shule Y mkoa X amevamiwa na wanakijiji Baada ya kutembea na mke wa mtu.
Hapo ualimu unakuwa umeingiaje unadhani
 
Kiwiliwili hakiwezi kuishi pasipo uhai wa kiroho
Chakula cha mwili si chakula cha roho, serikali kazi yake ni kutoa huduma za afya, elimu, miundombinu ya uchukuzi,Linda amani,suala la mtu kuwa muadilifu siyo la serikali, sababu linataka moyoni, ndiyo maana serikali ikaweka vyombo vya dola,polis,makachero,jela...uadilifu wa mtu hujengwa msikitini, kanisani etc
 
Washauri mashehe nao wachukue hatua Kali dhidi ya udhalimu
 
Walikemea labda ulikuwa hujazaliwa. Na msiwafundishe maneno ya kusema,wizi wa kura ni sawa na wizi mwingine tu ni dhambi mbele ya Mwenyezi Mungu.
Watapangiwa tu cha kusema,wakitaka wabadili usajili wa taasisi zao ziwe taasisi za harakati tofauti
 
Uovu wa waamori u karibu sana kutimia na hakika Mungu Yesu anaenda kushusha ghadhabu yake kwa kile kibibi blender mwenye kuelewa na aelewe.
 
 

Attachments

  • 20250430_162532.jpg
    74 KB · Views: 13
🎯

Pia liepushe hizi interactions zisizo na maana hasa kwenye makazi ya viongozi muhimu wa dini yetu

Sasa saa nne usiku bar tena

Hatari sana
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…