Spermatozoa..huweza kaa masaa 72 zkiwa hai endapo ztakuwa ndani ya uzazi wa mwanamke ..na huchukua lisaa li 1 kuwa liquidfy(hali ya maj maj kutokea katka hali ya mnato. ili kujua spermatozoa ni zima na zenye ubora huwa 2na angalia njia mbili..ya kwanza ni macroscopicaly na microscopocaly
nikianza na macroscopicaly(kwa macho) huwa 2na angalia v2 vitatu cha kwanza ni VISCOSITY(mlendemko) ni lazma ziweze vutika kwa urefu usio zid CM 2..ili kujua kama zko normal..ya pili ni rangi normal spermatozoa ina rangi ya MILKISH LIKE ikiwa na rangi nyngne inakuwa ni indcator ya ugonjwa...ya 3 ni liquidfication hii hutokea baada ya 1hour after kumwaga...lazma zbadlike form kutokea mlendemko nakuwa maji maji ya kawaida...hzo ni njia za 1 xakujua kama spermatozoa zko kwenye ubora wake.
Njia ya 2 mi microscopicaly hii hufanyka maabara ambapo 2 na angalia v2 v3...cha kwanza ni spermatozoa concentration hii ni njia yaku zihesabu sperm zko ngap..kwa kawauda kwa mwanaume kamili anatakiwa katka kila mshndo 1 amwage spermtzoa 60 milion-120milion..ya pili ni VITALITY hii ni method yaku hesab sperm ngap zipo hai na ngap zme kufa...hapa 2naweza pia angalia ABNORMALT apernce of sperm ili mwanaume kuweza ku mpa mwanamke mimba nilazma sperm zake ziwe na kicha,mwil,na mki. kinacho fanya wengi wawe wagumba ni.kwamba unakuta m2 sperm zake hazna mkia 4 swming...au kichwa kikubwa kulko mwl..au mkia bila kichwa...au zngine bi GIANTSM.
dah nmechka andka tamalzia badae...