Dwellerman
Member
- Jul 30, 2019
- 20
- 5
Mambo VIP ndugu zanguni? Kwa yeyote aliyewahi Fanya usaili wa Narco hawa jamaa huwa inachukua muda gani Ku shortlist maana tangu watoe tangazo lao la kazi now almost Two months ni kimya tu.
Kama ni hivo kuna haja gani ya kuweka tangazo public kama ni hivo basi wawe wanamalizana kimya kimyaKwenye lile tangazo lao kuna sehemu walidokeza kuwa wanaojitolea watapewa kipaumbele kwahiyo ndugu usishangae sana kama hutasikia chochote tena kutoka kwao.
Bado jmn nimeuliza hukoWashaweka ndugu zao waliokuwa wanajitolea
Mkuu upo kazini tayari?Bad
Bado jmn nimeuliza huko
Kwanini umeuliza hivo mkuu[/QUOTE]Nilijua walishakuita maana ulienda uliziaa kabisa[QUOTE="Prince Kunta, post: 32904889, membe
Mkuu upo kazini tayari?
Nilijua walishakuita maana ulienda uliziaa kabisaKwanini umeuliza hivo mkuu
Hao kawaida yao kuchelewa hata mwaka Jana hivohivo kwani kuna aliyeitwa?[/QUOTE]Mimi sijui kitu, kumbe una waajua vyemaNilijua walishakuita maana ulienda uliziaa kabisa
Mimi sijui kitu, kumbe una waajua vyemaHao kawaida yao kuchelewa hata mwaka Jana hivohivo kwani kuna aliyeitwa?