aziza kimambi
New Member
- Dec 10, 2018
- 2
- 0
Jamani nilikua naomba kuuliza! Je? kuwezekano wakatumia njia ya mchujo kwa kuwapa mitihani wale watu waliosoma kozi Moja? Na kingine nahitaji kufahamu kama wanataka MTU mwenye certificate je Mimi mwenye diploma naweza kuomba pia??na interview zao wanaangalia nini haswa,Kwa anaefahamu jamani please tuelekezane