MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Kumekua na taarifa za kupotosha kuhusu Mgombea mwenza wa UKAWA Mh.Juma Duni na kutaka kuleta propaganda za kupuuzi kuwadanganya Watanzania! Ifahamike kwamba Mgombea huyu anafanya kazi kubwa sana kupiga kampeni pamoja na baadhi ya Viongozi wa vyama washirika vya UKAWA kama Ndugu Issa Mohamedi M/kiti CHADEMA Zanzibar, na Viongozi wengine waandamizi wa CUF taifa. Kama tunavyoelewa kwa hali ya kisiasa iliyo wakati huu ambapo vyombo vingi vya habari vimekua haviripoti kwa makusudi matukio mengi ya UKAWA ikiwa ni pamoja na mikutano ya Mh Duni.Kwa wanaofuatilia vizuri ni kwamba Mh Duni anafanya kazi kubwa sana kuhakikisha UKAWA wanashinda ushindi wa kishindo.
Pia ifahamike kua Kazi kubwa ya Mh Duni ni kuhakikisha kwamba kura zote za wanaCUF bara na visiwani zinaenda kwa wagombea wa vyama vinavyounda UKAWA maana ndicho chama alichikiwakilisha siku zote! Hakuna mwananchi asiyefahamu kwamba ni kwanini Mh Duni amejiunga CADEMA, kazi yake kubwa ni kuhakikisha maslahi ya CUF yanalindwa ndani ya UKAWA ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wagombea wote wa CUF ngazi zote walikosinamishwa wanaibuka kidedea.Mh Duni alijiunga CHADEMA ili kukidhi matakwa ya sheria ya Uchaguzi ili kuunganisha nguvu ya vyama vyote vya UKAWA.
Kuna watu humu wabapotosha kwamba Mh Duni katengwa kwenye kampeni na CHADEMA kitu ambacho ni uongo uliokubuhu na ni wa kupuuzia mbali! Ukweli ni kwamba Mh Duni yupo ndani ya kampeni kila siku ingawa baadhi ya vyombo vya habari havioneshi matukio hayo kwa sababu zao binafsi. Baadhi ya vyombo vya habari tukiacha Radio one, ITV na baadhi ya magazeti vinaona aibu ndio maana vinajaribu kuonesha japo kidogo tena kwa kuficha kampeni za Mgombea urais wa CHADEMA Mh Lowassa, sasa kama kwa Lowassa ni hivyo unafikiri kwa Mh Duni itakuaje?
Pia ifahamike kua Kazi kubwa ya Mh Duni ni kuhakikisha kwamba kura zote za wanaCUF bara na visiwani zinaenda kwa wagombea wa vyama vinavyounda UKAWA maana ndicho chama alichikiwakilisha siku zote! Hakuna mwananchi asiyefahamu kwamba ni kwanini Mh Duni amejiunga CADEMA, kazi yake kubwa ni kuhakikisha maslahi ya CUF yanalindwa ndani ya UKAWA ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wagombea wote wa CUF ngazi zote walikosinamishwa wanaibuka kidedea.Mh Duni alijiunga CHADEMA ili kukidhi matakwa ya sheria ya Uchaguzi ili kuunganisha nguvu ya vyama vyote vya UKAWA.
Kuna watu humu wabapotosha kwamba Mh Duni katengwa kwenye kampeni na CHADEMA kitu ambacho ni uongo uliokubuhu na ni wa kupuuzia mbali! Ukweli ni kwamba Mh Duni yupo ndani ya kampeni kila siku ingawa baadhi ya vyombo vya habari havioneshi matukio hayo kwa sababu zao binafsi. Baadhi ya vyombo vya habari tukiacha Radio one, ITV na baadhi ya magazeti vinaona aibu ndio maana vinajaribu kuonesha japo kidogo tena kwa kuficha kampeni za Mgombea urais wa CHADEMA Mh Lowassa, sasa kama kwa Lowassa ni hivyo unafikiri kwa Mh Duni itakuaje?