Bila shaka wale wote mliofanya application mwaka huu mnaona usumbufu uliopo tofauti na kipidni cha nyuma mpaka sasa ingekuwa ni wachache tu ambao hawajapata chuo na ni hao tu ambao wangekuwa wanapata ushauri juu ya namna ya kuomba awamu ya pili.
Cha kushangaza mpaka sasa vyuo vilivyotoa majina vimetoa picha ya namna uchaguzi ulivyofanyika kwa vyuo vyote! ingawa vigezo ni kuanzia point NNE na kuendelea, lakini ni kama vyuo vyote vimeng'ang'ania wale wenye div one. kwa matokeo ambayo yametolewa kama kuna wenye div 2 & 3 tayari wamepata machaguo waliyoyapendelea ni kwa kiwango kidogo sana.
Sasa kwa usumbufu huu sioni haja ya TCU kuendelea na mfumo huu ingawa ni ushauri Wa Rais lakini siyo kila kitu anachokisema Rais kiko perfect 100%
Cha kushangaza mpaka sasa vyuo vilivyotoa majina vimetoa picha ya namna uchaguzi ulivyofanyika kwa vyuo vyote! ingawa vigezo ni kuanzia point NNE na kuendelea, lakini ni kama vyuo vyote vimeng'ang'ania wale wenye div one. kwa matokeo ambayo yametolewa kama kuna wenye div 2 & 3 tayari wamepata machaguo waliyoyapendelea ni kwa kiwango kidogo sana.
Sasa kwa usumbufu huu sioni haja ya TCU kuendelea na mfumo huu ingawa ni ushauri Wa Rais lakini siyo kila kitu anachokisema Rais kiko perfect 100%