Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,486
- 34,789
Nimeona Marioo anapewa sifa Sana kias cha kufananishwa na Konde Boy pamoja na Alli Kiba na wengine kwenda mbali zaidi kudai kijana anaweza kuwakalisha vibaya mno hao nguli wa mziki.
Binafsi mimi sijamuelewa kivile kiasi cha kumfananisha na Konde Boy au Alli Kiba, sioni Hit Songs za Mariooo za kukimbizana na hawa jamaa. Kjana asije kavimba kichwa kiasii cha kukimbizana nao na kujikuta akiharibu vibaya. Kijana anazidiwa hata na BarackaDaPrince, Aslay, Barnaba Boy, Benpol na wakali wengne kibao.
Ngoma nayoikubali ni moja tu 'Dar Kugumu' na nyingine ameshirikishwa ya Chibonge
Upande wa vocal yupo talented ila kwa mashairi na tone bado
Binafsi mimi sijamuelewa kivile kiasi cha kumfananisha na Konde Boy au Alli Kiba, sioni Hit Songs za Mariooo za kukimbizana na hawa jamaa. Kjana asije kavimba kichwa kiasii cha kukimbizana nao na kujikuta akiharibu vibaya. Kijana anazidiwa hata na BarackaDaPrince, Aslay, Barnaba Boy, Benpol na wakali wengne kibao.
Ngoma nayoikubali ni moja tu 'Dar Kugumu' na nyingine ameshirikishwa ya Chibonge
Upande wa vocal yupo talented ila kwa mashairi na tone bado