Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Habari zenu Wakuu,
Nimepata kusikia kuwa baadhi ya Mataifa makubwa yakiwa na Waziri mkuu basi Makamu wa raisi hayupo au akiwepo makamu wa raisi basi waziri mkuu hayupo kwa hiyo naombeni kujua tu kazi kubwa ya waziri mkuu na makamu wa raisi ni nini au kuna mwingiliano wa kazi zao (kufanana)?
Ahsanteni
Nimepata kusikia kuwa baadhi ya Mataifa makubwa yakiwa na Waziri mkuu basi Makamu wa raisi hayupo au akiwepo makamu wa raisi basi waziri mkuu hayupo kwa hiyo naombeni kujua tu kazi kubwa ya waziri mkuu na makamu wa raisi ni nini au kuna mwingiliano wa kazi zao (kufanana)?
Ahsanteni