trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Je suala hili lina ukweli? Mi nimeafuta sijaona. Ni sms tu nimetumiwa. Mwenye ufahamu atujuze. Eti kuna mionzi mara sayari ya Mars sijui kuna vitu gani hivyo inabidi tuzime cellular zetu!
izime kabsa na uiweke ndani ya maji hiyo mionzi ni hatari
Ni mionzi hatari kuliko TISS. Jitahidi uweke simu ndani ya beseni na jaza maji inasaidia kupunguza mionzi
izime kabsa na uiweke ndani ya maji hiyo mionzi ni hatari