Navoelewa ni hivi kama hujalipia hata ya mwaka huu imefutwa na za nyuma ifikapo tareh 1 july but ukitembea kwa sasa ukakamatwa unapigwa fain ila ifikapo tar 1 july ingiza mzigo barabaran hata kama ulikuwa unadaiwa 2mill xo stika zitabak mbili tu kwe kioo ya usalama na insurance