nacte unatumia mfumo gan wa kuchagua wanafunzi wa kujiunga na diploma coz unakuta kama sasa HV wameshaanza kuchagua halaf mweny div 2 anaachwa lkn mwny div3 anachukuliwa na ukiangalia wanasema angalau MTU awe na 'c' kwny masomo flan lkn mwngne mpka ana'F' lakini anachukuliwa