Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,414
- 191,571
Hahahah, ila mabaharia wapo tatizo watoto wakike wanataka ready made.Hao wanataka Watu wenye pesa ila kusema hakuna wa kuwaoa sio kweli.Pia siku hizi kuna simu na social network so mtongozano ni rahisi sana