Kuhusu kisulisuli kuna somo moja

Kuhusu kisulisuli kuna somo moja

Hao wanataka Watu wenye pesa ila kusema hakuna wa kuwaoa sio kweli.Pia siku hizi kuna simu na social network so mtongozano ni rahisi sana
Hahahah, ila mabaharia wapo tatizo watoto wakike wanataka ready made.
 
nimepata somo moja tu, "watanzania wengi ni wajinga-wajinga"
Yaani hilo umelipata katika hili la 'kisuli suli' ama ulifanya ugunduzi upi ukajua kwamba watanzania wengi wajinga wajinga na wangapi wajanja wajanja?
 
Pale ambapo baba zao watabadili mahari badala ya n'gombe wawili ni njiwa wawili tutaoa
 
Nasubiri hapa mwanamke wa kunitongoza maana mlango tayari umefunguliwa! Sharti awe na tako la kueleweka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom