Kuhusu Joseph Mungai

Haya makaburi mengine yanatisha. Ukifukua mchanga wa kurudishia hautoshi
DAWA YA KABURI NI KULIJENGEA NA IKIWEZEKANA UNAJENGA NA KA MNARA KAMA LILE KABURI LA NYUNDO PALE LUNDAMATWE FAIDA YAKE WANAOHUSIANA NA MAREHEMU WAKIONA MAMBO YANAWAENDEA SIVYO WATAKWENDA KUSEMBUA KABURI KWA HIYO CCM WAACHENI WASIFUKUE ILA TUKIWABANA UTAONA WANAKWENDA KUSAFISHA AU KUSEMBUA ILI MAREHEMU AKAWAPIGIE MZINGA KWA MUNGU
 
Shikamoo Brother Pascal
 
The politics of 2005 - 2010 when Jakaya and Lowassa takeover
 
Mkuu Mwalla, mtu akiishatangulia mbele ya haki, sio busara kuanza kufukua makaburi ya watu walisema nini huko nyuma. Tuzunguzie mazuri tuu ya merehemu.

RIP Joseph Mungai.
Paskali
hii ni sawa na kumchekea alafu akikupa kisogo unamng'ong'a
 
Jamaa alimiliki karibu rasilimali zote za Mufindi!! RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…