Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

.Hotuba imeeleweka cha muhimu ni kimoja tu kwetu wagonjwa,tunaomba mludi kazini.
.Kama mshahara mdogo omba utoke,utafute utakakopata mshahara huo,mkuu amewaruhusu.haina haja ya kupiga kelele ondoka hapo nenda unapoona panafaa.
.Kama ni hilo hata hao wanaharakati mnashiriki kuwaumiza watanzania walioko mahosipitarini kisa 3m za mshahara kweli unawezekana mshahara huo.
 
Dah! kazi tunayo watanzania!
 
Ameeleweka vizuri tu ...................big up JK.....kuwa na msimamo usirudishwe nyuma na maneno ya watu

Kweli wajinga ndio waliwao. Hivi madaktari wakiamua kurudi kazini halafu wakaendeleza mgomo wao baridi nani ataumia? Au wakaamua kuanza kuwakamua (yaani bila kutoa rushwa hutibiwi) ili kufidia hilo pengo nani ataumi???
 
Back
Top Bottom