Kuhusu Google Adsense

Kuhusu Google Adsense

dottoz

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
1,510
Reaction score
874
Hivi ni nani anafaidka na huduma ya google adsense??
na mimi ndo nimeanza kuwa nayo toka week iliyopta kutokana na kunikubalia na nimefksha dolar zaidi ya kumi na wameniambia leo watanitumia pin number ndani ya week 2 mpaka 4,,je kwa yeyote hum ndani yy alipata kwa siku ngap au week ngapi mpaka kufka hapa Tanzania????
 
Hivi ni nani anafaidka na huduma ya google adsense??
na mimi ndo nimeanza kuwa nayo toka week iliyopta kutokana na kunikubalia na nimefksha dolar zaidi ya kumi na wameniambia leo watanitumia pin number ndani ya week 2 mpaka 4,,je kwa yeyote hum ndani yy alipata kwa siku ngap au week ngapi mpaka kufka hapa Tanzania????

mpaka kufikia tanzania ni wiki 4 mi nauzoefu sana na hizo mambo ..ukiwa na tatio jingine ni pm
 
Duuuuu week 4 dah nyngi sanaaaa hzo
 
Hivi ni nani anafaidka na huduma ya google adsense??
na mimi ndo nimeanza kuwa nayo toka week iliyopta kutokana na kunikubalia na nimefksha dolar zaidi ya kumi na wameniambia leo watanitumia pin number ndani ya week 2 mpaka 4,,je kwa yeyote hum ndani yy alipata kwa siku ngap au week ngapi mpaka kufka hapa Tanzania????


Ni kati ya week ya nne mpka ya sita ndo utapata barua yako ila kikubwa fanya upate visitor ujichukulie mpunga huo mwezi ujao

 
google adsense


Kuna thread moja wadau waliwahi kuchangia jinsi ya kupata adsense kwa tanzania jaribu kusearch,nilieleza njia bora kuliko zote tafuta huku huku JF kama hukupata nikuelezee upya
 


Kuna thread moja wadau waliwahi kuchangia jinsi ya kupata adsense kwa tanzania jaribu kusearch,nilieleza njia bora kuliko zote tafuta huku huku JF kama hukupata nikuelezee upya

Eleza upya mkuu maana kuipata thread humu ndani ni kaz.
 
sio nying cha msingi ww pigana uingize mkwanja uzidi payment threshold {100usd}ili next month utoe pesa

Dah nitafksha tu wala haina nouuma maana mpaka sasa nina dollar 74.94,,,
Maana mpaka sasa siamini kama ni kwel aiseee dah nyie acheni
 
kuomba adsense mbna simple tu nakuombea ndani ya masaa mawil unaanza kupiga pesa pia ntkuwekea na float adsense ambayo inaongeza mapato mara kumi so if up tayar n pm
 
Back
Top Bottom