Kuhusu course work na UE

Kuhusu course work na UE

dragon ball

Member
Joined
Jul 17, 2015
Posts
57
Reaction score
4
Kwenye prospectus ya vyuo vingi vinasema ili ufanye UE unatakiwa uwe na course work ya 16/40 na ufaulu kwa ujumla ni 40/100. UE ili iwe 40%, unatakiwa upate 24/60. Ikiwa UE ipo chini ya 24 na mwanafunzi amefaulu kwa jumla juu ya 40%, watamuwekea supp sababu ya UE au atakuwa amefaulu?
 
umechaguliwa chuo gani na course gain??....tuanzie hapo kwanza..
 
Kwenye prospectus ya vyuo vingi vinasema ili ufanye UE unatakiwa uwe na course work ya 16/40 na ufaulu kwa ujumla ni 40/100. UE ili iwe 40%, unatakiwa upate 24/60. Ikiwa UE ipo chini ya 24 na mwanafunzi amefaulu kwa jumla juu ya 40%, watamuwekea supp sababu ya UE au atakuwa amefaulu?

hiyo inaitwa technical supp, ina apply kwenye baadhi ya vyuo sio vyote, na pia kila chuo kina form yake ya kucollect CA. Halafu uache wenge hata chuo hujafanya registration let alone kuingia hata dakika moja darasani unaanza ulizia habari za Supplementary.
 
hiyo inaitwa technical supp, ina apply kwenye baadhi ya vyuo sio vyote, na pia kila chuo kina form yake ya kucollect CA. Halafu uache wenge hata chuo hujafanya registration let alone kuingia hata dakika moja darasani unaanza ulizia habari za Supplementary.
Udom ipo hiyo... Ukijichanganya tu UE ukakosa 24/60 basi utarudi September conference nadhani now day itakuwa inaitwa October conference..
 
Vyuo vinatofautiana c/w vingine 20 na supp vingine ni not less than 50
 
Back
Top Bottom