Ni Kodi yako ikiwemo tozo, Kikwete alikwenda karibu nchi zote dunia Labda kule hakupenda yeye.
Faida yake ni mikataba ya RICHMOND,DOWANS,Mikataba hovyo ya madini mfano ACACIA na makinikia yao,Gesi yote inakwenda kwa beberu.
Yaani alisaini Mikataba ya kila namna na kusafiri kila Kona,faida zero,na kula Kodi za Watanzania na washakaji zake.
Faida yake ni mikataba ya RICHMOND,DOWANS,Mikataba hovyo ya madini mfano ACACIA na makinikia yao,Gesi yote inakwenda kwa beberu.
Yaani alisaini Mikataba ya kila namna na kusafiri kila Kona,faida zero,na kula Kodi za Watanzania na washakaji zake.

