Kuhangaika kusiko na tija, Mwanamke uliemhonga timiza haja zako pita vile, hajakulipa umridhishe wala sio mkeo.

Kuhangaika kusiko na tija, Mwanamke uliemhonga timiza haja zako pita vile, hajakulipa umridhishe wala sio mkeo.

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
935
Reaction score
3,014
Umekutana na mwanamke umeomba namba umepewa, unamcheki anakuwa mzito ila umemtumia vipesa kawa mwepesi kama nyoya

Mwanamke huyo mkikutana hana utofauti na wa kununua, ukitosheka na huduma chapa lapa, huna haja ya kujiproove wala kumridhosha, Umelipa uridhike sioumridhishe.

Nashangaa sana watu wanaohonga na wanakamia mechi utadhani wamelipwa, Kuhusu kukomoa itoe kichwani kabisa, Huwezi shindana na ulikotoka chief, Kibaolojia mwanaume akipiga round 3 hoi taabani, wao wanaweza kuhudumia hata watu 20 daily.
 
Back
Top Bottom