Kuhama mtandao

Kuhama mtandao

Nami nafuatilia uzi kwa karibu kujua.... airtel wamegoma kutoa 4G intrrnet yao inasumbua sana ...karibu makampuni mengine wanatoa 4G ... naangalia kampuni ipi intetnet iko fast...
 
Inaelekea elimu juu ya hili swala bado


Umenena, taasisi husika zilitakiwa kutoa elimu in advance juu ya hili jambo, anyway huenda wamefanya kimyakimya ili wanufaike kwa ignorance yetu, mtu akikosea tu ameliwa
 
Process yake siyo rahis...
Nilidhani unafanyia kwenye simu yako tu kumbe unaenda kwenye ofis za kampuni ya mtandao unaotaka kuhamia..
unajaza form mpaka ziende tcra..
Basi wachache watapata huduma hii kwani wale ambao wapo vijijini huduma hii wataisikia kwa wenzao tu
 
Tumeambiwa ukiingia ukijisajili kwenye mtandao fulani huwezi hama mpaka zipite siku 90. Nafikiri nilivyolelewa namba hazibadiliki. Hakika baadhi ya makampuni makubwa yatapoteza wateja wengi.
Hasa Wale wenye kutoza garama kubwa
 
Mimi nataka kuhamia tigo ila huku niliko hakuna signals za tigo so tigo hawaopareti,maeneo kama haya nilipo hii huduma itawezekana?
 
Mimi nataka kuhamia tigo ila huku niliko hakuna signals za tigo so tigo hawaopareti,maeneo kama haya nilipo hii huduma itawezekana?
Kama signal hakuna utabaki gizani mzee
 
kweli aisee lakin mlolongo mwingi ni usumbufu tu haina tija
Tija ipo kwa mfano upo tigo na nambs yako ni ya muda mrefu watu wameizoea lkn tigo ina matatizo ya network ulipohamia ambapo vodacom wapo imara katika eneo hilo hilo una ewezo wa kuhamia voda kwa namba ile ile ya tigo watu wako wakaendelea kukupata kama kawaida.
 
Back
Top Bottom