kuhama mkoa kwenda kutafuta mke, Does it make sense ?

kuhama mkoa kwenda kutafuta mke, Does it make sense ?

Yani unatafutaje mdau ?
Kwa kutongoza, kwenye majaa au kwa kigezo kipi?
Kwanini mpaka uhame mkoa mmoja kwenda mwengine, wa hapo ulipo hawafai kua wake?
Ila anyways hama mkuu hata nje ya Dunia utafute😓
 
Hakuna hiyo haja, ni upotevu wa pesa yeye atulie alipo mke atakuja akifunga na kuomba kwa bidii
 
Watu wanahama kutafuta maisha wewe unahama kutafuta vipochi manyoya....😁
 
Back
Top Bottom