Kuhama kwa secondment kabla ya kuthibitishwa kazini

Kuhama kwa secondment kabla ya kuthibitishwa kazini

JLN

Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
15
Reaction score
5
Wadau naomba ushaur wenu ili kujua utaratibu wa kuhama kwa secondment kabla ya kupata barua ya kuthibitishwa:
1. Mwajiriwa anaruhusiwa kuhama kwa secondment hata kama atakuwa hajapata barua ya kuthibitishwa kazin na mwajir wake wa awali?
2. Km inaruhusiwa kuhama, vp barua ya kuthibitishwa itatolewa na mwajiri wa awali au mwajiri mpya(seconment)?
3. Baada ya miez 12 ya kutumikia seconment, unaweza pata barua ya kuhamishwa permanently regardless ulikuwa hujapata barua ya kuthibitishwa kazin kwa mwajir wako wa awali?
Nawasilisha hoja ili wataalam wa utumishi na utawala rasilimali watu watoe ushaur wao juu ya hili.
 
unaongelea serikalini!???Hivi kuna kuhama siku hizi, maana naona watu wanakataliwa na mabosi wao na akikaidi anashughulikwa!Na sheria ni hakuna kuresign, ukithubutu tu umejiondoa kwenye utumishi wa umma!Kwa ufupi kazi za serikali ni ndoa isiyovunjika, na ukiivunja kuirudia ni shughuli pevu...!kwanza waje wataalamu
 
Bado naendelea kusubiri maneno mazur ya weny uelewa wa mambo hayo!
 
Kwa
mm ninavyojua kwa uzoefu wangu mdogo wa miezi 2 ktk hr post ktk hz
halmash.zetu,ili mtumishi apate fursa ya kuhama ni lazima amalize hcho
kipind cha Mwaka m1 kwani kwa hapa katkat atahama vp bila hata barua ya
uthbitisho kazini?kiutaratibu umalize huo mda then unathbitshwa ndo unaanza michakato ya kuomba huo uhamisho,may be uwe unahamia same region haisumbui sana ila kama unatoka nje ndo isu.
 
Kwa
mm ninavyojua kwa uzoefu wangu mdogo wa miezi 2 ktk hr post ktk hz
halmash.zetu,ili mtumishi apate fursa ya kuhama ni lazima amalize hcho
kipind cha Mwaka m1 kwani kwa hapa katkat atahama vp bila hata barua ya
uthbitisho kazini?kiutaratibu umalize huo mda then unathbitshwa ndo unaanza michakato ya kuomba huo uhamisho,may be uwe unahamia same region haisumbui sana ila kama unatoka nje ndo isu.

Kimsing tayar nilkuw nimekaa kazin kwa mwaka na miez mitano lakin mpaka wakat huo bado barua za uthibitisho zilkuw bado hazijatolewa na mpaka wakat huo hakukuwa na maelezo au barua yoyote inayopinga kuthibitishwa kwang.
Baaday uhamisho ulifata taratbu zote za utumishi na barua nilyopewa toka menejment ya utumish wa umma haikusema kuw uhamisho ni wa muda flan ispokuw ilinukuu vifungu kadhaa vya sheria na kusema IMEAMULIWA UHAMISHIWE OFIS.......
 
unaweza kuhama bila kuthibitishwa na mwajiri wa awali kwan baada ya mwaka mmoja wa kazi mwajiri mpya anakuthibitisha hata kama ulikua umethibitishwa na mwajiri wa awali,so haina tatizo la msingi katibu mkuu utumishi atoe kibali cha uhamisho!! mie nina experience hiyo nimehama dec
 
Tmajuto nashukur kwa maelezo mazur, kibali cha uhamisho kilitolewa na katibu mkuu utumishi, ngoja nisubir miez michache iliyosalia ili kumaliza mwaka kwa mwajir mpya nisubiri kuona kitatokea nn, naamin nitaendelea tuu hapa kwan kaz nazimudu na mwenendo wang uko vzr hivyo naamin hakuna ground ya kunirudisha nilkotoka!!
 
Back
Top Bottom