Kuhama chuo cha kilimo (certificate)kwenda chuo kingine

Kuhama chuo cha kilimo (certificate)kwenda chuo kingine

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,296
Reaction score
96,540
Nomba mwenye kujua namna ya kuomba kuhama chuo kimoja kwenda kingine vyuo vya kilimo kwa ngazi za certificate anisaidie.
 
Unataka kwenda chuo gani na wew saivi upo chuo gani
nataka niende Kilombero -KATRIN. What happened is this, nilichaguliwa vyuo viwili, cha kwanza Mtwara, nikamtumia joining instructions mfadhili. Baadaye nikapata offer ya KATRIN, wakati nimeshajiandaa kwenda KATRIN, mfadhili akawa ameshalipa Mtwara. nataka nihame kwenda KATRIN.
 
Sasa kama kule tayar kuna jina lako hamn haja ya kufanya transfer so just mpigie principal wa mtwara akupe information zaidi coz hapo sio kuhama hapo unafanya kwenda kuripot. Sawa
nataka niende Kilombero -KATRIN. What happened is this, nilichaguliwa vyuo viwili, cha kwanza Mtwara, nikamtumia joining instructions mfadhili. Baadaye nikapata offer ya KATRIN, wakati nimeshajiandaa kwenda KATRIN, mfadhili akawa ameshalipa Mtwara. nataka nihame kwenda KATRIN.
 
Sasa kama kule tayar kuna jina lako hamn haja ya kufanya transfer so just mpigie principal wa mtwara akupe information zaidi coz hapo sio kuhama hapo unafanya kwenda kuripot. Sawa
ada imelipwa mtwara, KATRIN si watadai ada tena? Mengine hayana shida ni hilo tu
 
Labda uangalie je fee inaweza kurudishwa? Na kwa nijuavyo vyuo vingi au taasisi nyingi huwa hawarudishi Ada.
hapo ni shida labda kwa vile ni vya serikali na hel zinakwenda serikalini???? lakini kwanini wanaita self help fund?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom