Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
kila mtu anapenda kuwa na mahusiano stable!
kuna mambo huwa yananishangaza naombeni mnisaidie ipi njia sahihi?
assume una mpenzi wako ..au mume/mke...ikatokea akawa na mtu mwingine...kuna watu wengine wakiona hivi solution yao ni kujivua gamba na kuachana
wengine wanawafata hao wapenzi wa wapenzi wao na kuwafanyia vurugu ili waachane na wapenzi wao...yaani kwa kifupi vita inaanzishwa na hao thirdy party!
mimi nilishawai kutukanwa na mdada mmoja vibaya sana alikuta mpenzi wake kaniandikia sms alikuwa ananitongoza ! mimi nilishangaa maana sms ilikuwa inajieleza kabisa kwamba mimi nipo clean kwenye hilo! halafu jamaa mwenyewe hakuwa ametulia hata kiivo alikuwa na wengine pia yaani huyo dada kazi yake ni kupigana na wanawake wenzake wao ndo anawaona adui wa penzi lake...kwake mwanaume wake hana kosa???????????!!!!!!!!!!
naombeni swali kuna haja ya kupigana na wapenzi wa wapenzi,waume au wake zetu?
kuna mambo huwa yananishangaza naombeni mnisaidie ipi njia sahihi?
assume una mpenzi wako ..au mume/mke...ikatokea akawa na mtu mwingine...kuna watu wengine wakiona hivi solution yao ni kujivua gamba na kuachana
wengine wanawafata hao wapenzi wa wapenzi wao na kuwafanyia vurugu ili waachane na wapenzi wao...yaani kwa kifupi vita inaanzishwa na hao thirdy party!
mimi nilishawai kutukanwa na mdada mmoja vibaya sana alikuta mpenzi wake kaniandikia sms alikuwa ananitongoza ! mimi nilishangaa maana sms ilikuwa inajieleza kabisa kwamba mimi nipo clean kwenye hilo! halafu jamaa mwenyewe hakuwa ametulia hata kiivo alikuwa na wengine pia yaani huyo dada kazi yake ni kupigana na wanawake wenzake wao ndo anawaona adui wa penzi lake...kwake mwanaume wake hana kosa???????????!!!!!!!!!!
naombeni swali kuna haja ya kupigana na wapenzi wa wapenzi,waume au wake zetu?