kugombania penzi!vita kwa thirdy party!

kugombania penzi!vita kwa thirdy party!

ni kweli kama ni wanandoa na tunajuana hapo nakubali kipigo...ila kama ni mpenzi tu na hatujuani kwa nini ulipige au kunitusi ? je kama ni kweli ananipenda mimi na sio wewe?

Ukiona hivyo si buree.....kuna kitu hapo kinachogombaniwa!!!
Utakuta kuna vijimambo vinapungua alafu nikigundua ni wewe bas hapo zitalika!!!!
 
ni kweli kama ni wanandoa na tunajuana hapo nakubali kipigo...ila kama ni mpenzi tu na hatujuani kwa nini ulipige au kunitusi ? je kama ni kweli ananipenda mimi na sio wewe?
mh lakini wakati mwengine mtu lazima ujishtukizie inawezekana kweli amuache huyo alokuwa nae akufate wewe?
una uhakika gani kama akiwa na ww hatopenda na mwengine tena?Hio formular hata mi hainiingii akilini....
 
kila mtu anapenda kuwa na mahusiano stable!
kuna mambo huwa yananishangaza naombeni mnisaidie ipi njia sahihi?
Na wale wanaoanzisha machokochoko kila siku wanapenda hii kitu?

assume una mpenzi wako ..au mume/mke...ikatokea akawa na mtu mwingine.

Kwanza sio sahihi kuwaambia watu waassume
Pili kuassume mabaya ni kuyavuta hayo kuja kwako!
..kuna watu wengine wakiona hivi solution yao ni kujivua gamba na kuachana

Hawa nakubaliana nao
Maisha yenyewe mafupi yanini kukimbizana na mtu asietaka kukuheshimu?
wengine wanawafata hao wapenzi wa wapenzi wao na kuwafanyia vurugu ili waachane na wapenzi wao...yaani kwa kifupi vita inaanzishwa na hao thirdy party!

Hawa ni wajinga sana
Utaendaje kugombana na mtu ambae aliombwa au aliomba na akatoa au akapewa?
Tena mtu mzima na akili zake?
mimi nilishawai kutukanwa na mdada mmoja vibaya sana alikuta mpenzi wake kaniandikia sms alikuwa ananitongoza ! mimi nilishangaa maana sms ilikuwa inajieleza kabisa kwamba mimi nipo clean kwenye hilo! halafu jamaa mwenyewe hakuwa ametulia hata kiivo alikuwa na wengine pia yaani huyo dada kazi yake ni kupigana na wanawake wenzake wao ndo anawaona adui wa penzi lake...kwake mwanaume wake hana kosa???????????!!!!!!!!!!

Huyo lazima alikuwa na matatizo ya ubongo!
Ni ujinga kugombana kwasababu ya mtu!
naombeni swali kuna haja ya kupigana na wapenzi wa wapenzi,waume au wake zetu?

Hakuna haja!
 
Ukiona hivyo si buree.....kuna kitu hapo kinachogombaniwa!!!
Utakuta kuna vijimambo vinapungua alafu nikigundua ni wewe bas hapo zitalika!!!!


Kimsingi mumeo akichepua nje jua ndani kuna tatizo hata kama mnachekeana
Kitendo cha kuchepuka ni ujumbe kuwa kuna tatizo mahali
Badala ya kupoteza muda kwenda kurusha ngumi na matusi ni bora ukautumia huo muda kutafakari mahali tatizo lilipoanzia!

Hebu jiulize,labda kwa bahati mbaya wewe na mmeo mmezoeana kiasi kwamba umezembea masuala kama usafi wa mwili wako pamoja na ufanisi wako kitandani umepungua
Kupigana kunaweza kuleta suluhu ya hili??????????
 
watu tuna tofautiana sana linapokuja swala la mapenzi.
Lakini ukijaribu kuchunguza kwa nini third party wengi kwenye mahusiano wanafanyiwa vurugu utagundua ni viherehere vyao.
Kuna watu wakitembea na mke wa mtu watataka mwenye mke ajue.
Kuna watu wakitembea na mme wa mtu watataka jiji zima lifahamu.

Na katika haya watu wanasahau kuwa kati yao hakuna malaika.
Kwa case yako Smile inaweza kuwa mara chache sana na inategemea mtu na mtu.
Na katika mahusiano third party wanapata shida sana sababu wao wanachukuliwa kama chanzo cha yote, maana kitendo cha kuwahita third party basi hawana haki.

Ni marachache kukutana na third party wastaarabu maana wao ndio utaka kujitutumua hili waonekane na mwisho wa siku yana wakuta japo si wote.
 
Last edited by a moderator:
Kimsingi mumeo akichepua nje jua ndani kuna tatizo hata kama mnachekeana
Kitendo cha kuchepuka ni ujumbe kuwa kuna tatizo mahali
Badala ya kupoteza muda kwenda kurusha ngumi na matusi ni bora ukautumia huo muda kutafakari mahali tatizo lilipoanzia!

Hebu jiulize,labda kwa bahati mbaya wewe na mmeo mmezoeana kiasi kwamba umezembea masuala kama usafi wa mwili wako pamoja na ufanisi wako kitandani umepungua
Kupigana kunaweza kuleta suluhu ya hili??????????

Tamaa tu hakuna lingine......ushawahi ona wez kwa wez wanapigana?
 
Asante kwa thread miss smile.
INATEGEMEANA NA MAZINGIRA.
1.kama huyo mwanamke hajui kuwa mmeo ana mke,ni sawa kwenda kumwambia ili asiendelee,mana hata hao wengine hudanganywa na pengine kuahidiwa kuolewa,na kama wakijua basi hawawezi kuendelea na mapenzi hayo.PIA HAIONDOI UKWELI KUWA MMEO PIA ANA MAKOSA(vice versa is true)
2.kama huyo mwanamke anajua fika kuwa mmeo ana mke na wewe anakujua,hiyo ni zaidi ya dharau na kuanzisha fujo inaweza kusaidia na wakaacha kuliko kukaa kimya,hata sanamu huwa linasaidia kuwafukuza kweleakwelea ili wasile mtama ama mpunga shambani.
3.NI SAHIHI KUWASHAMBULIA WOTE mana wote wanamakosa ya KUZINI.
Nb:ni bora zaidi kumbadilisha mmeo ili aheshimu ndoa yako na asikusaliti na huu ndio ulinzi bora zaidi kuliko njia zote mana hauwezi kuwafahamu wote anaozini nao.
 
Back
Top Bottom