Kugegeda

😝😝😝jamii forum bana
 
we kweli mgeni unacheo cha Member,kugegeda ni kubandua,watu wanabanduana mchanamchana humu kwenye Gesti za JF na Mods wanashangilia
 
Kugegeda ni kula kiporo mkuu,ukiamka asbuhi ukala chakula ulichopika Jana,hapo wewe utakuwa umegegeda
 
hahaa...ni kusex kwa mujibu watumiaj
 

Kamanda hahahahahaha dah ahsante kwa kunichekesha na kuniongezea siku za kuishi. Yaani huyo boss awe Mwanamke nakwambia utaozea ndani maana Ile sheria ya sexual harassment itakuhusu
 
Hahahahah..pua lako
 
Exactly!! Thank you 4 your welcome.
But not she.you may use he pliz
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] imetumika intentionally

nimependa ulivosuggest "you may use he pliz"

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…