The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 1,001
- 2,360
Hakuna rais ambaye hajakubalika na watanzania kama huyu, na sidhani kama atakuja kutokea tena atakayemzidi.
Wewe huna akili kabisa.Hakuna rais ambaye hajakubalika na watanzania kama huyu, na sidhani kama atakuja kutokea tena atakayemzidi.
Wenye masrahi na CCM na Samia wanasema mitano tena, wasionufaika moja kwa moja wanasema NoReformsNoElection. Ngoja nipande kwenye mti kama Zakayo nishuhudie mnyukano
Haswa, tena kihasara na kijizi na kifisadiNchi imekaa ki aina hii .
Sawa genius, Basi itakuwa 99% ya watanzania hawana akiliWewe huna akili kabisa.
Who cares? Haya majambazi ukiyapigia kura yameshinda na usipoyapiga yameshinda vile vile!Hivi karibuni, rais Samia alitoa baiskeli kibao.
Je hii siyo rushwa?
Je hii pesa ndiyo inafanya tukope sana?
Je rais kaipata wapi tena kihalali pesa hii?
Je ananunua nini zaidi ya kura?
Je hapa kutakuwa na haki?
Je anatufundisha nini?
Je anaogopa nini hadi ahonge?
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳Who cares? Haya majambazi ukiyapigia kura yameshinda na usipoyapiga yameshinda vile vile!
Amegawa Kwa wana ccm wenzakeHivi karibuni, rais Samia alitoa baiskeli kibao.
Je hii siyo rushwa?
Je hii pesa ndiyo inafanya tukope sana?
Je rais kaipata wapi tena kihalali pesa hii?
Je ananunua nini zaidi ya kura?
Je hapa kutakuwa na haki?
Je anatufundisha nini?
Je anaogopa nini hadi ahonge?