Kufutwa kwa kodi kwenye bodaboda".

Kufutwa kwa kodi kwenye bodaboda".

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,054
Reaction score
3,263
Waziri wa Fedha jana alitamka kundoa Kodi kwenye Bodaboda , kwa lengo la kuongeza Ajira zaidi kwa Vijana .
Nnachokifahamu ,Opportunity yoyote ya Ajira hutengenezwa kwa kuzingatia Mazingira Mazuri ya ajira husika , ikiwa ni Pamoja na Bima ya Ajira Hiyo .Tumesikiliza na tunaendelea kusikiliza kila kukicha vyombo vya habari vikiripoti Majanga juu ya hizi pikipiki bila serikali kuchukua hatua yeyote kunusuru nguvu kazi ya Taifa ,ambapo vijana ndio idadi kubwa waliojikita kwnye kazi hii.
Je Serikali inatengeneza ajira , au ! Mm naona Serikali inajitengenezea Walemavu tu ,na kuua nguvu kazi ya Taifa. Serikali jipangeni kutafuta ajira zenye Mantiki na Zenye Mazingira Mazuri kwa Wananchi , acheni kufaanya Maisha ya Watu Mchezo wa Kisiasa.
 
Uhai wako unasubiri hadi serikali ikuongoze.
 
Naomba mjue kwamba waendesha bodaboda wengi almost 99% wameajiriwa na matajiri wa bodaboda kama ilivyo kwa madereva wa daladala na makondakta wao. Kwa hiyo wenye bodaboda ni watu wenye uwezo na siyo wale vijana wanaoendesha. Kwa hiyo serikali kufuta kodi kwenye bodaboda wame MISS target na inaonyesha ni jinsi gani serikali inakurupuka bila kufanya utafiti. Hapa hakuna kijana anayeinuliwa.
 
Mimi sidhani kama hawa mawaziri wana akili timamu pengine wengi wanaingia kichaa kipindi cha bajeti.
 
CCM hawana akili timamu....pamoja na vurugu zote za boda boda bado wanapunguza kodi....CCM hamna akili kabisa...nimewachukia sana CCM ,,swala la kiuchumi kama bajeti wao wanaweka siasa....alafu kuna wajinga humu wanawatetea...
 
Mzee wa kihehe sijui nani kamdanganya eti karudia mara mbili huku wabunge wa ccm wachumi wanapiga vigelegele....aibu naona wamechoka
 
lengo ni kupunguza vijana kwa vifo vya ajali za pikipiki ili wasipige kura 2015
 
CCM hawana akili timamu....pamoja na vurugu zote za boda boda bado wanapunguza kodi....CCM hamna akili kabisa...nimewachukia sana CCM ,,swala la kiuchumi kama bajeti wao wanaweka siasa....alafu kuna wajinga humu wanawatetea...

Tenna sio kupunguza ni Kuondoa Kodi kabisa .
 
Mbulula kuanzia Rais.........Makamu.........Mawaziri........na sector zote vichwa mchunga....,,sijui tutabadilika lin??,,....lol
 
Ndo ccm hiyo ndg yangu, hata mtoto wa chekechea analiona hilo...
Naomba mjue kwamba waendesha bodaboda wengi almost 99% wameajiriwa na matajiri wa bodaboda kama ilivyo kwa madereva wa daladala na makondakta wao. Kwa hiyo wenye bodaboda ni watu wenye uwezo na siyo wale vijana wanaoendesha. Kwa hiyo serikali kufuta kodi kwenye bodaboda wame MISS target na inaonyesha ni jinsi gani serikali inakurupuka bila kufanya utafiti. Hapa hakuna kijana anayeinuliwa.
 
Waziri wa Fedha jana alitamka kundoa Kodi kwenye Bodaboda , kwa lengo la kuongeza Ajira zaidi kwa Vijana .
Nnachokifahamu ,Opportunity yoyote ya Ajira hutengenezwa kwa kuzingatia Mazingira Mazuri ya ajira husika , ikiwa ni Pamoja na Bima ya Ajira Hiyo .Tumesikiliza na tunaendelea kusikiliza kila kukicha vyombo vya habari vikiripoti Majanga juu ya hizi pikipiki bila serikali kuchukua hatua yeyote kunusuru nguvu kazi ya Taifa ,ambapo vijana ndio idadi kubwa waliojikita kwnye kazi hii.
Je Serikali inatengeneza ajira , au ! Mm naona Serikali inajitengenezea Walemavu tu ,na kuua nguvu kazi ya Taifa. Serikali jipangeni kutafuta ajira zenye Mantiki na Zenye Mazingira Mazuri kwa Wananchi , acheni kufaanya Maisha ya Watu Mchezo wa Kisiasa.

FIER
Kwa hakika bajeti hii ni ya hovyo sana kwa maslahi yetu wananchi!

Kuhusu hizo bodaboda na bajaji ni kutafuta attention tu kutoka katika kundi hili la vijana ambalo kwa hakika bado hawajawasaidia hata kidogo kwa sababu wengi wao wala si wamiliki wa hivi vyombo, pili unapofuta hio kodi alafu hapohapo ukapandisha bei ya petrol ambayo sasa ndio muendehaji anakabiliana nayo kila siku au muda wote wa kazi yake maana ni kumuongezea gharama za usafirishaji kumbuka jioni au kwa muda waliopangiana na mmiliki inabidi arudishe hesabu ambapo kwa kawaida haitapungua eti kwa sababu mafuta yameongezeka! Hii inakwenda kumfanya yeye huyu dereva kuongeza gharama za usafiri, hali inabaki palepale.

Kaweka excise duty 5% kwenye magari yanayofanya kazi za usafirishaji abiria na mizigo yaliyozidi miaka kumi eti ili tununue mapya na sababu nyingine isiyokuwa ya kitafiti eti kupunguza ajali! Hapa anatuongezea tena gharama za usafiri kwa sababu vyombo hivyo gharama ya kununua itakuwa kubwa, kwa hio idadi pia ya kuagiza itapungua kuhusu ajali asilimia zaidi ya 90 husababishwa na uzembe wa madereva na barabara na wala si hio miaka inayozidi kumi. Tuchukulie mfano wa malori yanayofanya kazi za hapa nchini, asilimia kubwa ni ma fuso. Sasa hizi fuso hakuna hata moja isiozidi miaka kumi kwanza hizo model za 2004 hakuna fuso pia ikumbukwe si kila model ya gari inaweza kustahimili mazingira yetu ya barabara. Mfano kwa sheria zao hizohizo sumatra walupitisha kutosajili gari ya abiria iliozidi miaka 10 kisa kulikuwa na gari za wahindi hapa zinaitwa EICHER walozinunua hadi wengine kwa mkopo watakueleza gari hizo jinsi zilivyoshindwa kuhimili mikiki ya daladala zimekufa karibu zote pia hata ma breki ni hovyo, sasa linganisha hata na coaster,dcm,isuzu journey zote za miaka zaidi ya kumi lakini ndio zipo durable. Mi nafikiri suala la ghari ubora kuweza kubeba abiria kwa usalama wawaachie wakaguzi wa magari vehicle trafick
 
FIER
Kwa hakika bajeti hii ni ya hovyo sana kwa maslahi yetu wananchi!

Kuhusu hizo bodaboda na bajaji ni kutafuta attention tu kutoka katika kundi hili la vijana ambalo kwa hakika bado hawajawasaidia hata kidogo kwa sababu wengi wao wala si wamiliki wa hivi vyombo, pili unapofuta hio kodi alafu hapohapo ukapandisha bei ya petrol ambayo sasa ndio muendehaji anakabiliana nayo kila siku au muda wote wa kazi yake maana ni kumuongezea gharama za usafirishaji kumbuka jioni au kwa muda waliopangiana na mmiliki inabidi arudishe hesabu ambapo kwa kawaida haitapungua eti kwa sababu mafuta yameongezeka! Hii inakwenda kumfanya yeye huyu dereva kuongeza gharama za usafiri, hali inabaki palepale.

Kaweka excise duty 5% kwenye magari yanayofanya kazi za usafirishaji abiria na mizigo yaliyozidi miaka kumi eti ili tununue mapya na sababu nyingine isiyokuwa ya kitafiti eti kupunguza ajali! Hapa anatuongezea tena gharama za usafiri kwa sababu vyombo hivyo gharama ya kununua itakuwa kubwa, kwa hio idadi pia ya kuagiza itapungua kuhusu ajali asilimia zaidi ya 90 husababishwa na uzembe wa madereva na barabara na wala si hio miaka inayozidi kumi. Tuchukulie mfano wa malori yanayofanya kazi za hapa nchini, asilimia kubwa ni ma fuso. Sasa hizi fuso hakuna hata moja isiozidi miaka kumi kwanza hizo model za 2004 hakuna fuso pia ikumbukwe si kila model ya gari inaweza kustahimili mazingira yetu ya barabara. Mfano kwa sheria zao hizohizo sumatra walupitisha kutosajili gari ya abiria iliozidi miaka 10 kisa kulikuwa na gari za wahindi hapa zinaitwa EICHER walozinunua hadi wengine kwa mkopo watakueleza gari hizo jinsi zilivyoshindwa kuhimili mikiki ya daladala zimekufa karibu zote pia hata ma breki ni hovyo, sasa linganisha hata na coaster,dcm,isuzu journey zote za miaka zaidi ya kumi lakini ndio zipo durable. Mi nafikiri suala la ghari ubora kuweza kubeba abiria kwa usalama wawaachie wakaguzi wa magari vehicle trafick

Huko Vehicle traffick nako kumejaa Rushwa ,hata kama nBovu litabandikwa Stika ya akuiashiria liko salama . Kiujumla OS ya nchi ye2 imecorrupt. We need new Upgrades .
 
Naomba mjue kwamba waendesha bodaboda wengi almost 99% wameajiriwa na matajiri wa bodaboda kama ilivyo kwa madereva wa daladala na makondakta wao. Kwa hiyo wenye bodaboda ni watu wenye uwezo na siyo wale vijana wanaoendesha. Kwa hiyo serikali kufuta kodi kwenye bodaboda wame MISS target na inaonyesha ni jinsi gani serikali inakurupuka bila kufanya utafiti. Hapa hakuna kijana anayeinuliwa.

Mkuu mvumbuzi umenena. Wamiliki wa bajaji na bodaboda ni wafanyabiashara kama walvyo wafanyabiashara wengine. Kuna watu wanamiliki hadi bodaboda kumi. Kwa nini wasilipe kodi?

Kwa nini mfanyakazi mwenye gari binafsi ya kumwezesha kwenda kazini, au mstaafu mwenye gari binafsi ya kumsaidia katika shughuli zake ndogo ndogo aendelee kuongezewa kodi ya leseni ya barabara kila mwaka? Hii si sawa.

Inabidi serikali waelewe kwamba watu wengi wanamliki magari si kuonyesha ufahari bali ni kutokana na mifumo mibovu ya usafiri wa uma.
 
Jamani si wameondolewa kulipa road licence tu?
Kodi ya mapato ipo pale pale!
 
Jamani si wameondolewa kulipa road licence tu?
Kodi ya mapato ipo pale pale!

Hata kama ni road licence tu, imeondolewa kwa manufaa ya nani?

Mbona road licence za magari binafsi zimepandishwa?
 
Back
Top Bottom