KUFURI Vs FUNGUO

KUFURI Vs FUNGUO

Bintiwangara

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
551
Reaction score
287
lowasa.jpg Picha.jpg View attachment 270364
 
Kufuli linaweza kuwa na maana mlangoni wakati funguo haipo, lakini funguo ikipatikana basi kufuli nikama halina kazi yoyote mlangoni.

Nguvu ya kufuli ipo kwenye funguo.
unahua maana ya dependency,wewe? Na kama hakuna kufuli ufunguo hauna maana
 
Kufuli lipi unalozungumzia mkuu? Maana kuna lile wanalovaa wanawake na lile la mlangoni
 
Watu badala ya kujadili uwezo wa mtu kuongoza, wanajadili maana ya jina la mtu! Tz bado sana....!!
 
Kuna hoja ndani yake! Kofuli hufungia kitu ili kiwe salama kisichukuliwe na mtu. Ufunguo hufungua kofuli ili kilichofungiwa kipatikane. Kofuli litafungia mikataba na vinginevyo kwa hiyo wananchi wataendelea kulizwa. Ufunguo utaweka mambo yote wazi kwa manufaa ya wote.
 
Kila Watanzania tunapojitahidi kuchonga funguo sahihi za kufuli,kuna wajanja wachache wapo busy wanabadili kufuli...HATUKUBALI ni lazima sasa tufungue ama tuvunje KUFULI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom