Kufungua bwalo la Jeshi uraiani si sahihi

Kufungua bwalo la Jeshi uraiani si sahihi

LONGIDARE

Member
Joined
May 21, 2015
Posts
11
Reaction score
2
Kufungua Bwalo la jeshi uraiani ni kuwaumiza wafanyabiashara wengine ambao wanalipa TRA na Leseni. Hilo bwalo linatakiwa kubaki kambini.

Au ni ujanja wa kuwekeza kwenye biashara zenu binafsi?

Maana bia zinaletwa lakini baada ya siku mbili vinywaji vyote vimeisha.
 
Nilikuwa naongea na mdau mmoja wa SBL anakiri kuwa haya mabwalo yameathiri biashara kwa kiwango cha juu sana kwasababu hawalipi Kodi.

Kinachofanyika baadhi ya wenye mabar wanaenda kununua bia kwenye haya mabwalo badala ya kununua kwenye Depo za bia. Kwa mikoani haswaa huko wilayani hali ni mbaya zaidi.
 
JAMAICA.jpg


Hapa hakuna Majungu wala nini wafanyabiashara hapa wanataka competitive price ili waende sawa, miaka ya nyuma Msasani beach club kulikuwa na mambo kama haya, wenye mabaa walilalamika mpaka ikaamriwa Msasani beach club wauze kwa bei ya ushindani kama za kwenye mabaa ya kawaida
 
Mtoa mada frame vizuri statement yako maana ni kweli kabisa, Baada ya shughuli zangu za shamba wikiendi nataka kurudi nyumbani, shambaboy wangu kaniambia boss wakati wa kuondoka nikuoneshe sehemu ya bia ya bei chee, kweli tulifika hapo yaani hata viti tukakosa lakini maeneo yenyewe ni uswahilini kabisa na pembeni kuna vijiwe vya bhangi hasa.
 
Kweli kabisa, kuna vitengo vitakuwa havina umuhimu tena katika biashara hizi za vinywaji vikali na baridi. Mimi nafikiri hizi bei za vinywaji hivi ilikuwa ni maalumu kwa watu maalumu, na sehemu maalumu ambazo watu hao maalumu wanaishi ili kuwaburudisha kutokana na majukumu yao maalum.:msela:
 
Haha mjeda mwenyewe mawe keshaona fulsa anatiririka nayo.

Jeshi linazidi kuwafaa wananchi wake,sasa lipo na walevi.
 
Sisi tunaoishi jirani na makambi ya jeshi tulishasahau bei ya bia kwenye baa zenyu. Sikuizi wamefungua na maduka makubwa hadi mikoani basi ni raha tuu, raha tuu kwa sauti ya AY
 
Kweli kabisa, kuna vitengo vitakuwa havina umuhimu tena katika biashara hizi za vinywaji vikali na baridi. Mimi nafikiri hizi bei za vinywaji hivi ilikuwa ni maalumu kwa watu maalumu, na sehemu maalumu ambazo watu hao maalumu wanaishi ili kuwaburudisha kutokana na majukumu yao maalum.:msela:
Wapi hapo na mm nipitie
 
Jamaa wako poa sana, siku hizi hata shopping naenda kufanya kwenye duka za jeshi kama wakati nikiwa Mwanza nachagua niende shopping, Jeshini hapa Nyegezi kona au Magereza pale Butimba.
 
Ahaa umesema mnaishi jirani na kambi ya jeshi ni vyema kuenjoy marupurupu hayo, sasa kwa nini wasio majirani na kambi hizo wapate kero ?
 
Nilikuwa naongea na mdau mmoja wa SBL anakiri kuwa haya mabwalo yameathiri biashara kwa kiwango cha juu sana kwasababu hawalipi Kodi.

Kinachofanyika baadhi ya wenye mabar wanaenda kununua bia kwenye haya mabwalo badala ya kununua kwenye Depo za bia. Kwa mikoani haswaa huko wilayani hali ni mbaya zaidi.
sifikirii wazalishaji kama wanaathirika hata kidogo kwa sababu kodi siyo yao
 
kumbe mnavyoruhusiwa na nyie mnywe mnawaona wajinga eeh, ss utakuja tena halafu subir bei yake. bia za bwalo unalewa elfu 10, unajiachia. nakumbuka bwalo la polisi dodoma enzi hizo bia 700,zikaja 1000, kisha 1200,1400 na sasa1600. uraiani 2300. bora bwaloooo. na ndio nataka niende hilo la hapo juu kuleee njia ya msangani.
 
Back
Top Bottom