Kufungua akaunti benki ya dunia

Kufungua akaunti benki ya dunia

kipipili

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
1,587
Reaction score
188
Wakuu naomba kuelekezwa wapi naweza kufungua akaunti ya akiba benki ya dunia?
 
Kafungue kwanza BOT alaf ndo ukafngue ya benki ya dunia..
 
Mmmh, kazi kweli kweli,. Bank ya dunia kazi yake kubwa ni kufinance shughuli za maendeleo duniani. Na si Bank inayopokea deposit kama Bank za kawaida. Pole
 
Kamuulize Dr. Magufuli kwanza ili akutumbue jipu. Hiyo Benki ya Dunia sio benki ya kufungua akaunti kama unavyofanya kwenye vijibenki vya hapa bongo.

Jibu: The World Bank is not a bank for individuals to open accounts. It is an international financial institution which provides leveraged loans to developing countries for capital programs. (Ask Experts & Get Answers to Your Questions - ASAP)
 
Benk zetu za kichimba chumvi wakikosea figure tuu 50,000 wakaweka 5000 unaenda na panga kwa meneja ndio utake kufungua account za nje..
 
Inabidi ushindwe kufungua akaunti kwenye benki zote hapa Tanzania.
Toka hapo Gavana wa BOT atakuandikia barua uende nchi zote Africa kufUngua hiyo Akaunti.

Ukishindwa hizo nchi ndo utapewa barua uende huko WB
 
Nimecheka Sana.Ila ukifikiri saaana,mleta mada Yuko sahihi.
 
Nenda kwanza serikali za mitaa ukachukue barua ukimaliza hapo nambie nikueleze
 
Kamuulize Dr. Magufuli kwanza ili akutumbue jipu. Hiyo Benki ya Dunia sio benki ya kufungua akaunti kama unavyofanya kwenye vijibenki vya hapa bongo.

Jibu: The World Bank is not a bank for individuals to open accounts. It is an international financial institution which provides leveraged loans to developing countries for capital programs. (Ask Experts & Get Answers to Your Questions - ASAP)

I too I am Tanzania I qualify.
 
Ya NMB unayo kwanza?
Jaribu pia kufungua Account BoT. Ukifanikiwa, nenda World Bank!
 
Back
Top Bottom