Kufungiwa whatssap

Kufungiwa whatssap

Watu Yo na Gb tunatumia lkn no bann , vip nyie huko,, kulkon?

Ingia official website ya yo kudownload app yao ya 26/5
 
Ni kweli naona limewakumba wa gb watsap tu..ila mwenzio akinyolewa zako tia maji tujiandae tu

Naombeni kuzijua sababu za kufungiwa wakuu ili tuanze kujieka sawa
 
Mmmh
Ndo nini eti
Aliyetengeneza whatsapp akaisajili Google ili iwe official application inayotambulika Google Playstore. Sasa kuna vijana wataalam wa hizi mambo wakaistudy vyema whatsapp na kubaini mapungufu wakaunda zakwao na kuzipatia majina (kama whatsapp plus, Gbwhatsapp, yowhatsapp, fmwhatsapp nk) zenye features nzuri zaidi ya hii whatsapp ya google. Japo application zao hazipo Playstore lakini zikawa zinapatikana huku kwenye takataka zinginezo zilimwagwa Google search engine... .. Kisha ukishadownload hizi application inakubidi uifanyie setting simu yako ili uweze kuinstall application from unknown sources.
Watu wengi walipoonja utamu wa hizi whatsapp from unknown sources wakaanza kuikacha official whatsapp, ndipo mwenye mali alipobaini kwamba anapoteza watumizi wa application yake kwa kasi ya moto wa petrol mwituni. Na kwakuwa yeye anazo access za Google na anazo credentials za watumizi wote kaamua rasmi sasa awashughulikie mmoja baada ya mmoja, na alishatoa taarifa hii tangu March 14 (if I'm not wrong).
Nadhani sasa utakuwa umeelewa kidogo.
 
Aliyetengeneza whatsapp akaisajili Google ili iwe official application inayotambulika Google Playstore. Sasa kuna vijana wataalam wa hizi mambo wakaistudy vyema whatsapp na kubaini mapungufu wakaunda zakwao na kuzipatia majina (kama whatsapp plus, Gbwhatsapp, yowhatsapp, fmwhatsapp nk) zenye features nzuri zaidi ya hii whatsapp ya google. Japo application zao hazipo Playstore lakini zikawa zinapatikana huku kwenye takataka zinginezo zilimwagwa Google search engine... .. Kisha ukishadownload hizi application inakubidi uifanyie setting simu yako ili uweze kuinstall application from unknown sources.
Watu wengi walipoonja utamu wa hizi whatsapp from unknown sources wakaanza kuikacha official whatsapp, ndipo mwenye mali alipobaini kwamba anapoteza watumizi wa application yake kwa kasi ya moto wa petrol mwituni. Na kwakuwa yeye anazo access za Google na anazo credentials za watumizi wote kaamua rasmi sasa awashughulikie mmoja baada ya mmoja, na alishatoa taarifa hii tangu March 14 (if I'm not wrong).
Nadhani sasa utakuwa umeelewa kidogo.
Asante sana Mkuu!
Yaani nimeelewa sana jamanii! Barikiwa mno!
 
Back
Top Bottom