Lawrichie
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 879
- 2,451
Ni kweli naona limewakumba wa gb watsap tu..ila mwenzio akinyolewa zako tia maji tujiandae tu
Tusubiri tuone itakavyokuwa, kikombe hiki kinaweza kutuepuka...
Ni kweli naona limewakumba wa gb watsap tu..ila mwenzio akinyolewa zako tia maji tujiandae tu
Haya ni mawazo potofuWachepukaji wanaijua vizuri sana
Au tujiongoze mkuu ..turudi kule local?? Kabla hatuja tumbuliwaYouwatsap siku yetu inakuja
Au tujiongoze mkuu ..turudi kule local?? Kabla hatuja tumbuliwa




na mimi nimewaza kufanya hvyo ila ngoja nisubirie tu ban ya masaa 24 kama ntapewa nisepe kabisa kwa officialInabidi na Mimi niwe mbishi kidogo kama wewe..bila ban hamna kuhamana mimi nimewaza kufanya hvyo ila ngoja nisubirie tu ban ya masaa 24 kama ntapewa nisepe kabisa kwa official
KabisaaInabidi na Mimi niwe mbishi kidogo kama wewe..bila ban hamna kuhama


hatuhamiSubiri time will tell mkuu...Mimi mbona hawajawah kunigusa na natumia yowhatssap

wapiga deal mmeanza kulalamika
Ungeijaribu hii usingetaka kurudi kwa official whatssapHuko kwingine panapatikana nini eti, niko nyuma nyuma mnooo
Ile ya playstore sifurahii kabisq yaan sjui nifanyejeMimi natumia yo WhatsApp mpaka sasa..siwezi tumia zile local ..nasubiri ban
Hata wa yowhatssap limetukumba mkuu ww subiri zamu yakoYoWhatsapp hili tatizo nafikiri bado halipo, maana natumia lakini sioni tatizo na tena jana tu nime-update new version natumia kama kawaida...
Ndio inapatikanajeUngeijaribu hii usingetaka kurudi kwa official whatssap
Hiyo ya update nishapigwa ban nikarudi tuu official japo inaniboaYoWhatsapp hili tatizo nafikiri bado halipo, maana natumia lakini sioni tatizo na tena jana tu nime-update new version natumia kama kawaida...




Ndio ameibaka WhatsApp tena kinyume na matumizi yake ya kawaidaMiaka 80, kwani umebaka mkuu
Afu hao jamaa vichaa kweli eti wanasema your temporary banned ivi kweli 80 years? Ni temporary?Jamani hii sio fair hata kama nilikua situmii official whatssap...
Kwa wale watumiaji wa
1.yowhatssap
2.fm whatssap
3.gbwhatssap
4.whatssap plus
Nadhan wanaona kinachotokea sahivi
Binafsi mie kutumia hii whatssap ya playstore inanishinda haina features nazozitaka jamani nifanyeje ili wasin bann tena yaan ntumie namba nyingine nikisha download
Kwahyo nmefungiwa 80 years seriously?? JamaniView attachment 1124314
Ame edit huyo jamaaAfu hao jamaa vichaa kweli eti wanasema your temporary banned ivi kweli 80 years? Ni temporary?