Kufungiwa kwa Mwananchi na Mtanzania: Zitto azungumza!

:target:
Zitto anachokitafuta atakipata; Naomba apewe onyokali au kalipio, yeye sio msemaji wa Mtanzania wala Mwananchi;Pilipili usiyokula yakuwashia nn. mwanasiasa abaki mwana siasa na mwanadishi abaki mwandishi; au ndo habari zake kwishinei huko mwananchi kwa TIDO siku zote TIDO MHANDO ni mchonganishi toka TBC ndo maana tulimshitukia mapeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Lazima imuwashe kwani hujui yeye ni msomaji acha kutoa argumrnts zisizo na mshuko
 
:target:
Zitto anachokitafuta atakipata; Naomba apewe onyokali au kalipio, yeye sio msemaji wa Mtanzania wala Mwananchi;Pilipili usiyokula yakuwashia nn. mwanasiasa abaki mwana siasa na mwanadishi abaki mwandishi; au ndo habari zake kwishinei huko mwananchi kwa TIDO siku zote TIDO MHANDO ni mchonganishi toka TBC ndo maana tulimshitukia mapeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hahahahaaaa.... hawana janja ya kumgusa Zitto, wathubutu waone kibano chake.. Serikali ya Jk is a failure.
 
[h=5]Zitto Kabwe
[/h][h=5]Absalom Kibanda Mhariri Mkuu wa gazeti la Mtanzania aliyenusurika kuwawa baada ya kuteswa kwa kung'olewa kucha, meno, jicho na vidole sasa anakuwa hana kazi kwa miezi 3 baada ya gazeti lake kufungiwa na Serikali. Wamemkosa kwa kumtesa sasa wanafuata kwenye kazi yake. Hawataki kumwua Kibanda kwa njaa, wanataka kuwanyima habari Watanzania. Wanataka tusome Uhuru na HabariLeo tu.

Unafungia gazeti la Mwananchi eti kwa kuandika kuhusu mishahara ya Serikali, wapuuzi hawa hawajui mishahara ni kodi za wananchi na wana nchi wana haki ya kujua mishahara ya watumishi wao.

Serikali lazima ijutie uamuzi huu wa kibabe na kidikteta. Kama hupendi habari ya gazeti nenda mahakamani. Kufungia gazeti ni tendo la woga.

Cowards behave this way[/h]

wapuuzi hao mishahara yenyewe ikowapi? wanakera sana wa.ji.n.ga hawa.
 
:target:
Zitto anachokitafuta atakipata; Naomba apewe onyokali au kalipio, yeye sio msemaji wa Mtanzania wala Mwananchi;Pilipili usiyokula yakuwashia nn. mwanasiasa abaki mwana siasa na mwanadishi abaki mwandishi; au ndo habari zake kwishinei huko mwananchi kwa TIDO siku zote TIDO MHANDO ni mchonganishi toka TBC ndo maana tulimshitukia mapeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwanini ZK hayamhusu wakati ni Mtz na yalotendwa na sirikali ni kwa wananchi.Jaribu kuwa muungwana kidogo..watu watakosa biashara/ajira wewe hujali.Kwani ww ulitegemea hao wenye magazeti ndo tu wanahusika?Kwani hayasomwi na watu wengine akiwepo yeye!Kama mwandishi abaki mwandishi nae mwanasiasa ivyo ivyo vipi kuhusu lile Juma Nkamia mbona usianze kumwelimisha yeye ili achague siasa au uandishi?je wewe mkuu ndo msemaji wa waTZ unapokuja na hoja dhaifu eti apewe onyo kali ,basi mpe wewe!

 
:target:
Zitto anachokitafuta atakipata; Naomba apewe onyokali au kalipio, yeye sio msemaji wa Mtanzania wala Mwananchi;Pilipili usiyokula yakuwashia nn. mwanasiasa abaki mwana siasa na mwanadishi abaki mwandishi; au ndo habari zake kwishinei huko mwananchi kwa TIDO siku zote TIDO MHANDO ni mchonganishi toka TBC ndo maana tulimshitukia mapeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

buku7@work
 
Mbona unamshambulia jamaa personally, ebu shughulika na hoja yake tujue kama kama ufikirifu wako ni timamu,haya mambo ya kumvamia mtu personally hayana maana.
Imekuwa kawaida kwa mwanasiasa kijana Zitto Zuberi Kabwe kuibuka katika utatanishi ili apate kuonekana. Katika Ukurasa wake wa Facebook ameandika maneno ambayo kwa kiongozi kama yeye hayastahili hata kidogo. Maneno haya yanaweza kutolewa na kijana analiye katika balehe, hivyo kuwa na mihemko ya mawazo. Sitaki kusema kuwa Zitto naye aliiruka hatua hii ya balehe, hivyo sasa anarudia.


Zitto umekuwa mtu wa kudandia matukio, ambayo unadhani yatakupa umaarufu, na hili ndani ya chama chako wamekwisha kuelewa wewe ni mtu wa aina gani. Haiwezekani kiongozi kama wewe ukatoa maneno kama, “Wamemkosa kwa kumtesa sasa wanafuata kwenye kazi yake. Hawataki kumwua Kibanda kwa njaa, wanataka kuwanyima habari Watanzania”. Zitto unataka kutuambia Kibamba serikali ndio iliyomteka/ Unataka kutumbia kauli za gazeti la Mtanzania zifuatazo hazina mashiko katika halmashauri ya kichwa chako;

1. “URAIS WA DAMU”,
2. “MAPINDUZI HAYAEPUKIKI”.
3. “SERIKALI YANUKA DAMU”
4. JWTZ YAPAMBANA NA M23 na nyingine nyingi.

Zitto unataka kusema kauli hizi kwako ni jambo la kawaida sana, Naanza kukuogopa sana Zitto rafiki yangu. Wewe ni Mzandiki, mfitini, kizabinazabina.

Tokea ulipowakana akina Mtela, Shoza na Machange nilikuona wewe ni zumbukuku asiye haya, tena mwenye tabia ya kuwatizamisha watu, mwenye siasa za kutafuta sifa, na kupandia migongo ya wenzako.

Zitto umekuwa mtu ambaye unataka kuona wenzako kuwa hawajui, kumbe wewe ndie hujui kwamba hujui. Nakuomba ndugu yangu mambo mengine kama hujui kukaa kimya pia ni kujua.

Nani asiyejua Kimbamba kapelekwa na nani New Habari Corporation, nani asiyejua jinsi gani Kibamba asivyoaminika, amekuwa akitumiwa na wanasiasa. Unataka kujifanya hujui kwanini Kibamba alitofautiana na Mbowe. Kimbamba ni mmoja wa watu wanaotumika kuhujumu utawala wa JK, nani asiyejua hili? Wewe mwenyewe wajua. Nakushanga kwa kusahau hili kwani wewe mwenyewe ni mhanga wa Kibamba. Kibamba mara ngapi alitumika kukumaliza wewe kisiasa na ukawa unalalama?

Ndugu yangu, nakuomba wakati mwingine sio lazima uzungumze kaa kimya. Au unamkejeli Kibanda.
Salamu kwako
 
Wamiliki sajilini magazeti ya Reserve Mwanahalisi wangekuwa na magazeti kama 2 tusingelala njaa mpaka mawio alipokuja. Mwananchi wangekuwa na lingine hata kama halifamiki tairi la reserve umuhimu wake na kufahamika ni lililoongoza likipasuka. Mpaka ukanunue siku 90 mmesimama wapi na wapi kesho watatoka ki citizen lakini ushauri wangu sajilini hata yasiyofamika as reserve.

Hasa, wakati wa uchaguzi au katiba wanaweza kukufungia magazeti yanayorushia mchanga vitumbua vyao mchanga mpaka upite tafakarini chukueni hatua hata tukilalamika mambo yamesimama hebu tuwaze zaidi yao
Mkuu soma the citizen
 
Hii serikakali isingekuwa inaombewa ingekuwa iliishasambaratika, anayesema ukweli ndo hafai muongo ndo anafaa. Wameahidi mishahara toka July 2013 mishahara kuongezeka lakini hadi leo hakuna aliyepata huo mshahara mpya, kama hutaki kuamini waulize JWTZ PT MT, lakini hao ndo kila cku wanfanya kazi usiku na mchana kuhakikisha wao wanatangulia marekani wiki moja kabla ya mkutano na kumaliza wk moja baada ya mkutano. Hii nchi ndo maana kila mtu sasa anasema atagombea uraisi, hii ina maanisha kila mtu akijipima anaona huyu mbona ni dhaifu na kaweza mimi ntashindwaje? Hata watu ambao ni takataka kimawazo wakina mama wa mjengo naye anataka, masela, wanataka hivi hii ni nchi ya watu takataka? Pole sana Kibanda nikiunganisha mambo yote haya napata jibu ulikusudiwa kuuwawa na watu wakubwa ktk hii nchi onayoishi kw nguvu za allah
 
:target:
Zitto anachokitafuta atakipata; Naomba apewe onyokali au kalipio, yeye sio msemaji wa Mtanzania wala Mwananchi;Pilipili usiyokula yakuwashia nn. mwanasiasa abaki mwana siasa na mwanadishi abaki mwandishi; au ndo habari zake kwishinei huko mwananchi kwa TIDO siku zote TIDO MHANDO ni mchonganishi toka TBC ndo maana tulimshitukia mapeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hahahahaaaa.... hawana janja ya kumgusa Zitto, wathubutu waone kibano chake.. Serikali ya Jk is a failure...
 
[h=5]Zitto Kabwe
[/h][h=5]Absalom Kibanda Mhariri Mkuu wa gazeti la Mtanzania aliyenusurika kuwawa baada ya kuteswa kwa kung'olewa kucha, meno, jicho na vidole sasa anakuwa hana kazi kwa miezi 3 baada ya gazeti lake kufungiwa na Serikali. Wamemkosa kwa kumtesa sasa wanafuata kwenye kazi yake. Hawataki kumwua Kibanda kwa njaa, wanataka kuwanyima habari Watanzania. Wanataka tusome Uhuru na HabariLeo tu.

Unafungia gazeti la Mwananchi eti kwa kuandika kuhusu mishahara ya Serikali, wapuuzi hawa hawajui mishahara ni kodi za wananchi na wana nchi wana haki ya kujua mishahara ya watumishi wao.

Serikali lazima ijutie uamuzi huu wa kibabe na kidikteta. Kama hupendi habari ya gazeti nenda mahakamani. Kufungia gazeti ni tendo la woga.

Cowards behave this way[/h]
Huyu si ajabu ni mmoja Kati ya wahamiaji haramu.
 
:target:
Zitto anachokitafuta atakipata; Naomba apewe onyokali au kalipio, yeye sio msemaji wa Mtanzania wala Mwananchi;Pilipili usiyokula yakuwashia nn. mwanasiasa abaki mwana siasa na mwanadishi abaki mwandishi; au ndo habari zake kwishinei huko mwananchi kwa TIDO siku zote TIDO MHANDO ni mchonganishi toka TBC ndo maana tulimshitukia mapeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

vuziiiii kabisa umeongea uharo tu!uzabin.a z.abina utakufanya uol.ewe!
 
nami nasema ni serikali ya kipuuzi kama haitaki hata mishahara ijulikane
ni Tanzania pekee mishahara inakuwa siri
nchi za wenzetu kama scandinavia mshahara wa mtu sio siri ukiandika jina la mtu online utaona adress yake,kazi anayofanya na mshahara wake
sasa iweje sisi wafanye siri why siri? kwani kaiba au ni jasho lake?
serikali ya kibabe itakufa kibabe
labda waseme wana reason nyingine lakini sio ishu ya mshahara,
wananchi wanalipa kodi wana haki ya kujau kodi yao inatumikaje mojawapo ni suala la mishahara kwa watumishi wake..
CCM CCM mwisho wenu uko karibu

mishahara ni ya kiwango cha chini sana hvo wakiexpose itakuwa aibu
 
Mimi naona kama sasa serikali imechanganikiwa. Ina maana siku hizi ukweli na uwazi hamna?

Hakuna gazeti zuri na linalopendwa na watetezi wa haki za binadamu kama haya magazeti. Yafaa watambue nini wananchi wanakitaka na kuchukua hatua za kuyafungulia haraka sana.

Ni vyema serikali ikatambua kwamba wananchi wana hamu ya kufahamu yanayojiri nchini kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa hapo mwakani. Leo ni leo wasingoje kesho watakuwa wamechelewa.

Wenye maamuzi ya tunataka serikali ijayo iweje ni sisi wananchi na si viongozi wachache wanaotumia mabavu.
 
Kwan hbr yenyewe ikoje jamani. Mnaweza kuiweka hapa? Coz sio wote tunasoma magazeti
 
Back
Top Bottom