Kufungia ndoa kijijini: Mbinu mpya ya kupiga michango

TheChoji

JF-Expert Member
Apr 14, 2009
4,980
15,325
Kumeibuka wimbi la vijana wanaooa hasa hawa wanaoishi mijini, kupitisha michango ya harusi bila kusema harusi itafanyikia wapi?

Mtu unaletewa kadi ya mchango, au kundi linaanzishwa whatsap unajikuta umeongezwa mnahamasishwa sana kuchanga kwasababu kutoa ni moyo sio utajiri. Ukiuliza bajeti unaambiwa milioni 20 ila kamwe hauambiwi harusi itafanyikia wapi..!

Mwishoooni kabisa mtu umeshajikamua umechanga laki yako, ndio unaletewa kadi ya mwaliko huku ikisema "harusi itafungwa siku ya jumamosi saa nne asubuhi huko Songea na baadae kufuatiwa na tafrija katika ukumbi wa Mpitimbi Secondari School! Kufika kwako ndio furaha yetu"

Jamani, huu si wizi? Kwanini msiseme mapema kwamba harusi itafanyikia wapi ili watu tuchange accordingly? Acheni hizo bana..!
 
Kumeibuka wimbi la vijana wanaooa hasa hawa wanaoishi mijini, kupitisha michango ya harusi bila kusema harusi itafanyikia wapi?

Mtu unaletewa kadi ya mchango, au kundi linaanzishwa whatsap unajikuta umeongezwa mnahamasishwa sana kuchanga kwasababu kutoa ni moyo sio utajiri. Ukiuliza bajeti unaambiwa milioni 20 ila kamwe hauambiwi harusi itafanyikia wapi..!

Mwishoooni kabisa mtu umeshajikamua umechanga laki yako, ndio unaletewa kadi ya mwaliko huku ikisema "harusi itafungwa siku ya jumamosi saa nne asubuhi huko Songea na baadae kufuatiwa na tafrija katika ukumbi wa Mpitimbi Secondari School! Kufika kwako ndio furaha yetu"

Jamani, huu si wizi? Kwanini msiseme mapema kwamba harusi itafanyikia wapi ili watu tuchange accordingly? Acheni hizo bana..!
Mi nlishasema sichangii harusi
 
Ipi mbinu mzuri ya kuikimbia michango?,maana wengine wanabeba kadi huko,ndoa sio yake ya ndugu yake....
 
Kumeibuka wimbi la vijana wanaooa hasa hawa wanaoishi mijini, kupitisha michango ya harusi bila kusema harusi itafanyikia wapi?

Mtu unaletewa kadi ya mchango, au kundi linaanzishwa whatsap unajikuta umeongezwa mnahamasishwa sana kuchanga kwasababu kutoa ni moyo sio utajiri. Ukiuliza bajeti unaambiwa milioni 20 ila kamwe hauambiwi harusi itafanyikia wapi..!

Mwishoooni kabisa mtu umeshajikamua umechanga laki yako, ndio unaletewa kadi ya mwaliko huku ikisema "harusi itafungwa siku ya jumamosi saa nne asubuhi huko Songea na baadae kufuatiwa na tafrija katika ukumbi wa Mpitimbi Secondari School! Kufika kwako ndio furaha yetu"

Jamani, huu si wizi? Kwanini msiseme mapema kwamba harusi itafanyikia wapi ili watu tuchange accordingly? Acheni hizo bana..!
Harusi itafanyika kilimasera
 
Kumeibuka wimbi la vijana wanaooa hasa hawa wanaoishi mijini, kupitisha michango ya harusi bila kusema harusi itafanyikia wapi?

Mtu unaletewa kadi ya mchango, au kundi linaanzishwa whatsap unajikuta umeongezwa mnahamasishwa sana kuchanga kwasababu kutoa ni moyo sio utajiri. Ukiuliza bajeti unaambiwa milioni 20 ila kamwe hauambiwi harusi itafanyikia wapi..!

Mwishoooni kabisa mtu umeshajikamua umechanga laki yako, ndio unaletewa kadi ya mwaliko huku ikisema "harusi itafungwa siku ya jumamosi saa nne asubuhi huko Songea na baadae kufuatiwa na tafrija katika ukumbi wa Mpitimbi Secondari School! Kufika kwako ndio furaha yetu"

Jamani, huu si wizi? Kwanini msiseme mapema kwamba harusi itafanyikia wapi ili watu tuchange accordingly? Acheni hizo bana..!

🤣🤣
 
Kumeibuka wimbi la vijana wanaooa hasa hawa wanaoishi mijini, kupitisha michango ya harusi bila kusema harusi itafanyikia wapi?

Mtu unaletewa kadi ya mchango, au kundi linaanzishwa whatsap unajikuta umeongezwa mnahamasishwa sana kuchanga kwasababu kutoa ni moyo sio utajiri. Ukiuliza bajeti unaambiwa milioni 20 ila kamwe hauambiwi harusi itafanyikia wapi..!

Mwishoooni kabisa mtu umeshajikamua umechanga laki yako, ndio unaletewa kadi ya mwaliko huku ikisema "harusi itafungwa siku ya jumamosi saa nne asubuhi huko Songea na baadae kufuatiwa na tafrija katika ukumbi wa Mpitimbi Secondari School! Kufika kwako ndio furaha yetu"

Jamani, huu si wizi? Kwanini msiseme mapema kwamba harusi itafanyikia wapi ili watu tuchange accordingly? Acheni hizo bana..!
Mmmh nimecheka sana wamegeuza mtaji
 
Kumeibuka wimbi la vijana wanaooa hasa hawa wanaoishi mijini, kupitisha michango ya harusi bila kusema harusi itafanyikia wapi?

Mtu unaletewa kadi ya mchango, au kundi linaanzishwa whatsap unajikuta umeongezwa mnahamasishwa sana kuchanga kwasababu kutoa ni moyo sio utajiri. Ukiuliza bajeti unaambiwa milioni 20 ila kamwe hauambiwi harusi itafanyikia wapi..!

Mwishoooni kabisa mtu umeshajikamua umechanga laki yako, ndio unaletewa kadi ya mwaliko huku ikisema "harusi itafungwa siku ya jumamosi saa nne asubuhi huko Songea na baadae kufuatiwa na tafrija katika ukumbi wa Mpitimbi Secondari School! Kufika kwako ndio furaha yetu"

Jamani, huu si wizi? Kwanini msiseme mapema kwamba harusi itafanyikia wapi ili watu tuchange accordingly? Acheni hizo bana..!
Daah haya yapo aisee
 
Pole sana mkuu
Naona imekuuma kweli kukosa misosi
Hilo la kukosa misosi ni moja, ila wangesema mapema harusi inafanyikia bushi mi ningechanga elfu 10. Sasa kweli bajeti ya milioni 20 harusi inafanyikia kijijini?
 
Back
Top Bottom