Kufungia JamiiForums si sawa

Kufungia JamiiForums si sawa

Mjusi Sharobalo

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2025
Posts
7,442
Reaction score
12,712
Binafsi hoja na maoni ya kufungia jukwaa pendwa la JF kwangu si sawa, uhuru wa kujieleza umekandamizwa!, kimsingi hoja zinazo tolewa JF ziwe na mantiki au hazina, kisiasa au kijamii, ni hoja zinazo hitajika kuwa wazi katika jamii tunayoishi kila siku, suala la kuamini hoja au kutokuamini kama ni ya kweli au hapana ni jambo la kadamnasi yenyewe.

Binafsi sifikilii kama naweza kumshawishi mtu kuamini kile ninacho kiamini mimi, ila ninauwezo wa kumfikishia ujumbe na fikira za kichwa changu na si vinginevyo, sheria ijitafakari inatokosesha uhuru wa kutumia vyombo vya habari nchini.

Hayo ni maoni yangu binafsi.
 
Binafsi hoja na maoni ya kufungia jukwaa pendwa la JF kwangu si sawa, uhuru wa kujieleza umekandamizwa!, kimsingi hoja zinazo tolewa JF ziwe na mantiki au hazina, kisiasa au kijamii, ni hoja zinazo hitajika kuwa wazi katika jamii tunayoishi kila siku, suala la kuamini hoja au kutokuamini kama ni ya kweli au hapana ni jambo la kadamnasi yenyewe.

Binafsi sifikilii kama naweza kumshawishi mtu kuamini kile ninacho kiamini mimi, ila ninauwezo wa kumfikishia ujumbe na fikira za kichwa changu na si vinginevyo, sheria ijitafakari inatokosesha uhuru wa kutumia vyombo vya habari nchini.

Hayo ni maoni yangu binafsi.
Screenshot_20250905-142316_Instagram.jpg
 
Bila vipien hauiingiu huku...mama kakashifiwa sijui katukanwa jibu gani Amma anafungua innchi Ana wafungia wanainchi club house pin if pin, x Twitter Niger x
 
Bila vipien hauiingiu huku...mama kakashifiwa sijui katukanwa jibu gani Amma anafungua innchi Ana wafungia wanainchi club house pin if pin, x Twitter Niger x
 
Bila vipien hauiingiu huku...mama kakashifiwa sijui katukanwa jibu gani Amma anafungua innchi Ana wafungia wanainchi club house pin if pin, x Twitter Niger x
[/Wanawakosea wazee wetu wasio na elimu ya VPN na kwa vibogoyo walivyo navyo muda hautoshi kujifunza hiyo kitu.]
 
Back
Top Bottom