Mkuu hujaonana na wachungaj wa kilokole ambao wanajiona ni malaika hawakosei jaman... Yani wao ni kuona dhambi na kuhukumu kabisa kama wao ni kama Mungu mtu vileMchungaji hana mamlaka ya kuamua ni dhambi au si dhambi
Kufunga ndoa bila kuzaa?? WeeeeeKikimani sex kabla ya ndoa ni dhambi... Kwa hiyo ata hiyo mimba si sawa... Ila ndo ishatokea tena!
Mimi naona ni bora tu mfunge ndoa ili msizae bastard!
Wanaoelewa mtoto wa nje ya ndoa ana status gani hawasubiri mpaka mdada ajifungue... Kuna rafiki yangu alifunga ndoa wakati mimba ina miezi nane... Walienda tu kwa mwenyekiti na gauni lake la kawaida wakafunga ndoa yao na kurudi kufanya kapati ka familia... Aligoma kabisa mtoto wake azaliwe nje ya ndoaKufunga ndoa bila kuzaa?? Weeeee![]()
![]()
Yaani hapo unakuwa umeoa wake 2 yaani huyo mama na mtoto aliye ndani, kwa hyo akizaliwa mtoto anakuwa mke wa pili.Wadau kuna hili swala huwa inatokea mtu anafunga ndoa mwanamke akiwa na ujauzito wake tayari,tena tumbo unakuta ni kubwa au kuzaa mtoto kwanza ndio ndoa inafungwa,hili swala kiimani limekaaje,ni rukhsa au wachungaji/mashehe wanalazimisha?
Ahaaa kumbe...Lakini pia Mtoto wa nje ya ndoa nae mtoto pia..ijapokuwa kuna wanaowaita haramu na kuwaona hawafaiWanaoelewa mtoto wa nje ya ndoa ana status gani hawasubiri mpaka mdada ajifungue... Kuna rafiki yangu alifunga ndoa wakati mimba ina miezi nane... Walienda tu kwa mwenyekiti na gauni lake la kawaida wakafunga ndoa yao na kurudi kufanya kapati ka familia... Aligoma kabisa mtoto wake azaliwe nje ya ndoa
Ndo ipo hivyo ila binadamu tusha halalisha maovu na kuona ni jambo la kawaida!!!Ahaaa kumbe...Lakini pia Mtoto wa nje ya ndoa nae mtoto pia..ijapokuwa kuna wanaowaita haramu na kuwaona hawafai
Mimba inamiezi nane then unajiongopea kwa kufunga ndoa ili mtoto asiwe kazaliwa nje ya ndoa.....Mjini kweli kuzuri.Wanaoelewa mtoto wa nje ya ndoa ana status gani hawasubiri mpaka mdada ajifungue... Kuna rafiki yangu alifunga ndoa wakati mimba ina miezi nane... Walienda tu kwa mwenyekiti na gauni lake la kawaida wakafunga ndoa yao na kurudi kufanya kapati ka familia... Aligoma kabisa mtoto wake azaliwe nje ya ndoa
Yeah ni kweli, tunapenda kufanya nyeusi iwe nyeupe na Nyeupe kuwa nyeusi...Sisi kufuata utaratibu walaaaaNdo ipo hivyo ila binadamu tusha halalisha maovu na kuona ni jambo la kawaida!!!
Mkuu, kuna watu walijitungia sheria duniani ili kuwa na mamlaka.Kwa sisi wa vijijini enzi zetu tumeshuhudia baba,wajomba,kaka zetu wakiswaga ng'ombe kupeleka kwa wazazi wa wake zao.Baada ya kukabidhiana kilichofuata ni maisha ya ndoa ambayo wengi wetu tunaohangaika na ndoa za kisasa tumezaliwa huko.Kama unawekewa vikwazo sijui na mchungaji nani huko,kwa nini usifanye ya kimila? Maana inatambulika kisheria.Mungu nisamehe sipendi kuongozwa muda wote na akili za wachungaji.