Enheee...Shukrani, kitu na bwaksi mazee.
Ila mimi niswali la kizushi kdg; kwa kuwa komputa nyingi hizi za maofisini tunatumia watu wengi hasa ambazo zipo ktk domain au workgroup. Ikatokea mtu akalifuta .bat file lako labda akidhania ni VIRUS ama file ambalo halina maana, je si niatakuwa nishapoteza kila kitu kilichomo humo???
Advise please.
Enheee...
Ndo hapo nilitaka kurejea,
Do you know how to make that Locker folder hidden now?
If YES that's good, now right click that .bat file and make it "Hidden" file.
Halafu, it's much better ukaliweka location ambayo si rahisi mtu kufuta.
Najua unatumia ujanja wako kwenye pc na unajua mengi. Try that.
And, make sure, kwenye folder unaweka hidden files ziwe hidden.
Kama ni tatizo kufanya file la .bat kuwa hidden basi nitoe shule yake hapa upya (japo nakumbuka tuliwahi kujadiliana juu ya hili miaka 3 iliyopita).
Labda kama sijakusoma...Poa, "nimekusoma" mkuu.
Jengine nililogundua ni kwamba: - Uki-unlock folder lako na ukali-rename lockfolder ;" let say juma, uki-lock tena una-lock folder tupu. Zile docs zako zote zinabaki "uchi". Floder la juma litabaki km lilivyo.
Nadhani ulikosea kwenye maelezo yako:Poa, "nimekusoma" mkuu.
Jengine nililogundua ni kwamba: - Uki-unlock folder lako na ukali-rename lockfolder ;" let say juma, uki-lock tena una-lock folder tupu. Zile docs zako zote zinabaki "uchi". Floder la juma litabaki km lilivyo.
Nadhani ulikosea kwenye maelezo yako:
Iko hivi, kwenye ile code niliyokupa FILE ambalo litakuwa created nimeliita Locker.
Endapo utaamua unataka kulibadilisha jina basi inabidi uanzie kwenye code yenyewe.
Nashauri
WARNING (TAHADHARI): DO NOT CHANGE the Locker folder name. That's a default name from the code, if you know how to play around with that code then change the code name to the desired one.
Ndo lengo langu haswa,Ukiingia kwenye code kwa ndani unaweza badili jina la folder unalo taka mwenyewe....kama kuna shule inahitaji....naweza toa...ila si unajua hata space tu unaweza changae maana nzima ya code nzima....hii ya mkuu inafanya..ila level yake ni watumiaji wa kawaida..inawezekana kabisa ku unlock folder na kuliona kama unajua nini kimekuwa hidden inside..pia unaweza ongeza vitu ndani ya script hiyo kama file kuwa hidden..bado nafanyia kazi...soon ntakuwa nanyi.
Buswelu hakurudi bana!