Mpambanaji K
Member
- Dec 29, 2008
- 84
- 6
Watanzania wenzangu,
ninaandika hoja yangu huku nikiwa na majonzi tele kuhusu hatima ya elimu yetu Tanzania.
Inaonekana wazi kuwa viongozi wa chuo na serikali imeamua kwa makusudi watoto wa masikini wasisome Tanzania?nyie mwaonaje?
Naomba kuuliza wandungu wangu, hivi hatima ya Tanzania inaelekea wapi? ninamaanisha? serikali kutelekeza jukumu lake la kutoa elimu kwa wanannchi wake ni nini?
ninaandika hoja yangu huku nikiwa na majonzi tele kuhusu hatima ya elimu yetu Tanzania.
Inaonekana wazi kuwa viongozi wa chuo na serikali imeamua kwa makusudi watoto wa masikini wasisome Tanzania?nyie mwaonaje?
Naomba kuuliza wandungu wangu, hivi hatima ya Tanzania inaelekea wapi? ninamaanisha? serikali kutelekeza jukumu lake la kutoa elimu kwa wanannchi wake ni nini?