KUFUGA SAMAKI

MWANAWIMA

Senior Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
119
Reaction score
77
Naomba ushauri juu ya ufugaji samaki kwa sisi tuishio mbali na vyanzo vya asili vya maji, maji yaliyopo ni ya visima na bomba tu. Twaweza fanya nini?
 
Maji ya bomba yanaweza kutumika kwaajili ya kufugia Samaki jambo la msingi ni kitoyaingiza moja kwa moja kutoka bombani kwenda bwawani unatakiwa kuwa na tanks uyahifadhi maji ya bomba walau siku3 ili Chlorine ipungue kisha yaingize kweny bwawa lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…