1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,364
- 3,199
Jana Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia tiketi ya Chadema,
Mh.Joseph Mbilinyi. Wengi wanamjua kama Sugu.kajeruhiwa kufuatia vurugu zilizotokea Bungeni jana mchana baada ya nAibu Spika wa Bunge Mh.Jobu Ndugai, kuamuru maaskari wamtoe nje Kiongozi wa kambi ya upinzani mh.Freeman Mbowe,kufuatia kukaidi amri ya nAibu spika wakati alipo ambiwa akae chini,Akagoma kutii kauli hiyo.
Katika purukushani za kumtoa nje mh.Mbowe ndipo alipo jeruhiwa kiasi na damu zikamtoka.
Sasa je? kufuatia Vurugu hizo,kuna haja ya vikosi kama Red Brigade,Green Guard,Blue Guard,kuwepo nje ya Geti la Bunge ili kuwalinda Viongozi wao wa Vyama?
Mh.Joseph Mbilinyi. Wengi wanamjua kama Sugu.kajeruhiwa kufuatia vurugu zilizotokea Bungeni jana mchana baada ya nAibu Spika wa Bunge Mh.Jobu Ndugai, kuamuru maaskari wamtoe nje Kiongozi wa kambi ya upinzani mh.Freeman Mbowe,kufuatia kukaidi amri ya nAibu spika wakati alipo ambiwa akae chini,Akagoma kutii kauli hiyo.
Katika purukushani za kumtoa nje mh.Mbowe ndipo alipo jeruhiwa kiasi na damu zikamtoka.
Sasa je? kufuatia Vurugu hizo,kuna haja ya vikosi kama Red Brigade,Green Guard,Blue Guard,kuwepo nje ya Geti la Bunge ili kuwalinda Viongozi wao wa Vyama?