Kufuatia historia ya Mkapa yafanyike maboresho mukubwa katika Elimu

Mkuu Kujiajiri na kuajiriwa haiwezi kuwa dhana moja,kwasababu anayejiajiri lazima awe Committed kwenye field husika,lazima awe creative,Risk taker,etc wakati anayeajiriwa yeye anaenda tu kutumikishwa na mara nyingi skills zake zipo kwenye makaratasi zaidi kuliko kwenye vitendo.
Wrong concept. Labda unamzungumzia mwajiriwa asiye na njozi; hali hiyohiyo inaweza kutokea pande zote kama mhusika anabahatisha & kushtukiza maisha, badala ya kuyapanga mapema.
 
Nimekuwa impressed na safari ya maisha ya marehemu Rais Mstaafu mzee Mkapa

Alianza shule ya msingi kijijini Lupaso miaka hiyo ya 1940s. Akasoma Ndanda na Kigonsera. Alisoma kwa taabu nyingi ikiwemo kutembea peku kwa kilometa nyingi. Lakini mwisho tumeona kile alicho archive, CV yake inatosha

Najiuliza hivi ubora wa elimu ile ya Tanzania hasa Shule za msingi uliishia wapi? Mbona mzee mkapa kafanya makubwa sana duniani kwa elimu ya Tanzania tena ya miaka karibia 80 iliyopita ?

Nashauri wizara ya elimu ichukue hii kama changamoto elimu yetu ipigwe msasa shule ziwe bora, kusiwe na haja ya kupeleka mtoto shule ya kulipia mamilioni viwango viwe sawa au zaidi ya private schools jambo linaloonekana kufanikiwa huko nyuma

Tuache Siasa kwenye Elimu ikiwa ni pamoja na île fikra ati ya kuachana na utumiaji wa Lugha ya kingereza,tumeona jinsi mzee mkapa alivyofanya vizuri katika lugha ya kiingereza ambapo msingi wa Mwanzo aliupata huko Lupaso, nadhani juhudi na uwezo wake ndio ulimfanya hadi kufikia kushiriki kwa ukamilifu katika maswala mengi ya kimataifa hadi kualikwa na viongozi wa mataifa mukubwa duniani jukwaa la world economic forum, kusuluhisha migogoro, ubalozi na majukumu mengi hata baada ya kustaafu hapo ndipo tunapoona umuhimu wa kuwa na english medium School ikibidi shule zote za serikali zitumie english kama lugha ya kufundishia.

Rais amefaulu kuifanikisha elimu bure sasa ni wakati wa wizara husika kuifanya kuwa Quality kwa kuhakikisha vyumba vya madarasa, ratio ya Mwalimu na idadi ya wanafunzi darasani, vifaa, viti madawati walimu wazuri pamoja na stahiki zao ziboreshwe vizuri

Nadhani tukiutafuta ubora tutafanikiwa kwani zamani tuliweza vipi? Kusiwepo tofauti za mbinu na mazingira ya ufundishaji kati ya government na private Schools

Apumzike kwa amani mzee wetu BWM.
Yeye mkapa kilimshinda nini kubadilisha mfumo wa elimu, mbona alipewa mamlaka.Kikwete ndio sio mnafiki aliyatumia madaraka yake kubadili mfumo wa elimu Ila alichelewa kuutumia.Huyu wa sasa ameurudisha kama ulivyokuwa nyuma, halafu akimaliza muhula wake atakuwa wakwanza kushauri mfumo wa elimu ubdilishwe huku amewahi kuwa raisi.
Naomba nikupinge kuwa Tanzania na baadhi ya nchi za Afrika zilikuwa na mfumo bora wa elimu, huo ni uzushi usio kuwa na ushahidi wa kisayansi.Tanzania imefeli mambo mengi kwa sababu ya kukosa wasomi halisi wa kuyabadili mambo ambao wanatokana na mfumo wa kielimu tangu Uhuru mpaka Leo.
Mnaposema Tanzania ilikuwa na elimu bora mnatumia vigezo gani.
 
Nimekuwa impressed na safari ya maisha ya marehemu Rais Mstaafu mzee Mka
Alianza shule ya msingi kijijini Lupaso miaka hiyo ya 1940s. Akasoma Ndanda na Kigonsera. Alisoma kwa taabu nyingi ikiwemo kutembea peku kwa kilometa nyingi. Lakini mwisho tumeona kile alicho archive, CV yake inatosha

Najiuliza hivi ubora wa elimu ile ya Tanzania hasa Shule za msingi uliishia wapi? Mbona mzee mkapa kafanya makubwa sana duniani kwa elimu ya Tanzania tena ya miaka karibia 80 iliyopita ?

Nashauri wizara ya elimu ichukue hii kama changamoto elimu yetu ipigwe msasa shule ziwe bora, kusiwe na haja ya kupeleka mtoto shule ya kulipia mamilioni viwango viwe sawa au zaidi ya private schools jambo linaloonekana kufanikiwa huko nyuma

Tuache Siasa kwenye Elimu ikiwa ni pamoja na île fikra ati ya kuachana na utumiaji wa Lugha ya kingereza,tumeona jinsi mzee mkapa alivyofanya vizuri katika lugha ya kiingereza ambapo msingi wa Mwanzo aliupata huko Lupaso, nadhani juhudi na uwezo wake ndio ulimfanya hadi kufikia kushiriki kwa ukamilifu katika maswala mengi ya kimataifa hadi kualikwa na viongozi wa mataifa mukubwa duniani jukwaa la world economic forum, kusuluhisha migogoro, ubalozi na majukumu mengi hata baada ya kustaafu hapo ndipo tunapoona umuhimu wa kuwa na english medium School ikibidi shule zote za serikali zitumie english kama lugha ya kufundishia.

Rais amefaulu kuifanikisha elimu bure sasa ni wakati wa wizara husika kuifanya kuwa Quality kwa kuhakikisha vyumba vya madarasa, ratio ya Mwalimu na idadi ya wanafunzi darasani, vifaa, viti madawati walimu wazuri pamoja na stahiki zao ziboreshwe vizuri

Nadhani tukiutafuta ubora tutafanikiwa kwani zamani tuliweza vipi? Kusiwepo tofauti za mbinu na mazingira ya ufundishaji kati ya government na private Schools

Apumzike kwa amani mzee wetu BWM.

ARCHIVE ❌
ACHIVE ✅
 
Binafsi naona mfumo wa Elimu ungejikita kumuandaa mwanafunzi kuwa mbunifu na mvumbuzi wa vitu au mambo kuliko ilivyo sasa iliyojikita ktk kukalili,aidha iwaandae wahitimu kujiajiri na siyo kuajiriwa.
Mvumbue jinsi ya kuitoa ccm? Acha ubaki hivohivo muendelee na green .
 
Back
Top Bottom